Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Wiki tatu baada ya ziara ya Mhe. Rais Samia Suluhu nchini Misri, wafanyabiashara 111 kutoka nchini humo wamekuja Tanzania kuangalia fursa za kibiashara na uwezekaji.
Jitihada za Rais zinalenga kuimarisha sekta binafsi ili kuzalisha ajira na kupanua wigo wa kodi.
Mie naungana na wote wanaosema Rais aendelee kusafiri tupate faida za namna hii. Ni ajira zaidi zinatengenezwa, fedha mnazolalamika zinatumika kwenye safari zinarudi na kuwa na faida maradufu.
MAMA YUKO KAZINI
Jitihada za Rais zinalenga kuimarisha sekta binafsi ili kuzalisha ajira na kupanua wigo wa kodi.
Mie naungana na wote wanaosema Rais aendelee kusafiri tupate faida za namna hii. Ni ajira zaidi zinatengenezwa, fedha mnazolalamika zinatumika kwenye safari zinarudi na kuwa na faida maradufu.
MAMA YUKO KAZINI