Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,993
- 144,329
Hii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.
Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?
Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.
Tuendelee kusoma mchezo .
Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?
Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.
Tuendelee kusoma mchezo .