Kama Makonda kashitakiwa na Jamuhuri, hapo siamini kama kuna kesi bali nahisi kuna mchezo unafanywa

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,993
144,329
Hii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.

Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?

Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.

Tuendelee kusoma mchezo .
 
Hii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.

Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?

Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.

Tuendelee kusoma mchezo .
Great Mkuu ..umeona mbali
 
Anashtakiwa na Said Kubenea, muulizeni kamanda Kubenea anatumikia kambi ipi ? Amekuwa chawa siku hizi wa kutumwa kazi chafu na watu ?
 
Mlikuwa hamjui mbona badoo huu mwanzo
SGN_11_26_2021_1637934876563.jpg
 
Hii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.

Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?

Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.

Tuendelee kusoma mchezo .
Kama hujui sheria ni bora unyamaze

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom