Kama maji yameongezeka mto Ruvu ndani ya saa 48, basi hata Kidatu, Kihansi na Pangani yataongezeka kama wanaohujumu wakidhibitiwa

Ni dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.

Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.

My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Tanzania kuna upuuuzi na ujinga wa hali ya juu sana ndugu yangu
 
Jingalao ni yupi hapo?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Jinga lao hapo ni johnthebaptist kama anavyoonekana hapo ambapo anautangazia uma kuwa wanaofanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji wanahujumu matumizi ya maji na wanapaswa kukamatwa mara moja🐒🐒🐒
image176ytr2.png
 
Rais ni hatari kufanya operation ya kuondoa wamachinga barabarani (uamuzi sahihi) na wakati huo huo kuzuia raia haohao essentially wasitumie maji ya mito inayopita kwao kulima mbogamboga, umwagiliaji mdogo mdogo, ufugaji samaki, nk nk. Hapa kuna real danger ya kuleta maafa, njaa, magonjwa na vita haswa ambayo hakuna atakayeiweza. Ni vema muwaache raia watumie mito kwa uangalifu. Viongozi msitake kuleta mtafaruku maisha ya tozo yanatosha kuwa fimbo kwa viumbe hawa. Huku mtaani utawala umeshafitinika mno mambo si shwari kabisaaa. Maneno ni mengi saidieni mama. Mabango ya sura ya rais kila kona yanageuka kejeki mjue. Acheni watu watumie maji ya mito ni haki yao nyie endeleeni kula vya makopo ya supermarket toka Kenya na Ulaya msiwachokoze!
 
Zinaibiwaje? Hebu wakat mwingine tumia akili angalau kidogo uliyonayo. Yaan Taifa lina intelligence NCHI nzima bado kuna raia wema taasis na watu mbalimbali kwamba hao wachepushaji maji hawajawah onekana? Au walikua wanatumia mfumo wa none visible 🤣🤣🤣🤣
Lita mil 1 kwa saa zilikuwa zinaibiwa bila kibali mto Ruvu, huko kwenye umeme huwa wanafungulia maji ili yapungue...
 
Kutumia maji ya mto kwa shughuli za kiuchumi kama kumwagilia mashamba au kufuga samaki siyo kuhujumu.

Infact serikali yenyewe ina encourage watu kulima kilimo cha umwagiliaje.

Na hii mito yote iko chini ya mamlaka za mabonde ambao ndo wana ratibu matumizi ya maji kwa ajili ya shughuli mbalimbali.

Kitendo cha kuwafungia maji kwa nguvu na kuwakamata watu wanao fanya shughuli zao halali ni ukiukwaji wa haki zao. Jambo hili lilitakiwa kuwa la mazungumzo badala ya nguvu
Kuna sehemu ilikuwa karibu na kambi ya jeshi na haikuwa na alama yoyote ya kukataza kupaki gari. Ukienda pale na gari, wakati unapaki hakuna anayekuambia kuwa ni marufuku kupaki pale japo kuna walinzi. Ukimaliza shughuli zako, wakati wa kuondoka wanakuzuia na kukuambia umepaki sehemu iliyokatazwa, hivyo utafunguliwa mashtaka. Ufanyaji wa kazi wa sehemu nyingi ndiyo uko hivyo. Hapa mtu unajiuliza. Walipokuwa huyo mwekezaji aliponza kutumia hayo maji kwa nini hakuambiwa kuwa hairuhusiwi? Ukweli ni kwamba serikali yetu inafanya kazi kwa njia ya reactive. Wanasubiri mambo yaharibike ndiyo wajifanye kuchukuwa hatua, tena za kijinga kweli kweli.
 
Wewe ni zaidi ya kenge maana hajijui kuwa yupo sehemu hatarishi mpaka aone damu zinamtoka puani.

Nakushauri hama huko ccm siyo salama kwako maana wazee wako wanakutegemea angalau kwa kuwatafutia kuni kwenye msitu wa rubondo.
Yaani ingekuwa zama sultan saidi ungekuwa bagamoyo sokoni unangojea kupata wanunuzi toka omani maana huna faida!
 
Kwanini yalioungua na leo yaongezeke wakati hakuna siku imenyesha mvua?

Tumesha wastukia nyinyi watengeneza matukio na kujifanya mnayapatia ufumbuzi.
Ndugu hakuna Maji yaliyoongezeka Ruvu.
Nimepita Ruvu Leo nikitokea Mbeya Hali siyo nzuri Kabisa.Maji ni Machache Sana.Yaani Hawa Jamaa Wanajaribu kutengeneza story Mfu wakiwa na Lengo Lakumkuza huyo Marehemu Wao.
 
Vumilia tu hasira hazitokusaidia huenda march mwakani atafufuka.
Kwanini usivumilie wewe mama yako karibu atafufuka karibuni ila ukimwi utakuwa umemmaliza sana pole sana. Vipi ulipona hakukuambukiza kweli kunauwezekano unakusumbua sana ndiyo maana unaweweseka sana hadi sasa.
 
Ndugu hakuna Maji yaliyoongezeka Ruvu.
Nimepita Ruvu Leo nikitokea Mbeya Hali siyo nzuri Kabisa.Maji ni Machache Sana.Yaani Hawa Jamaa Wanajaribu kutengeneza story Mfu wakiwa na Lengo Lakumkuza huyo Marehemu Wao.
Tumesha wazoea sana hao wadanganyaji
 
Back
Top Bottom