Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.
Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.
Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.