Kama Madaktari wangeongezewa marupurupu yao ingekuwaje?

Avanti

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
1,209
239
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.
 
Waambie madaktari wapunguze kulewaaaaaa, duuuuuh

Ndio maana salary wanalalamikaaaa


@PJN at Mtwara Gas City
 
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewauliza kabisa. Wangesahau madai mengine yot, hii ni kwa sababu binadamu tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.

Hapo kwenye red halmashauri yako ya ubongo iko vizuri kweli?Utakuwa una matatizo makubwa sana katika kufikiri.
 
Sasa madaktari watakutibia kivipi bila vifaa? Watajuaje ugonjwa wako ili wautibie? Kazi kwelikweli!
 
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.
hili RIJINGA kweli kweli! wambie dereva akufikishe uendako bila matairi ya gari basi!
 
Waambie madaktari wapunguze kulewaaaaaa, duuuuuh

Ndio maana salary wanalalamikaaaa


@PJN at Mtwara Gas City
mkuu, ni stress za kimaisha na kikazi zinazowafanya wanywe! wanaona vifo kila siku makazini kwao ambavyo havina sababu, wakitoka kazini hela haitoshi, bora wajilewee tuu wazisahau hizi shida za hapa TANZANIA yetu hii yenye watu wenye akili fupi kama zako wewe!
 
Hapo kwenye red halmashauri yako ya ubongo iko vizuri kweli?Utakuwa una matatizo makubwa sana katika kufikiri.

Inawezekan mkuu, mbona ukimweleza tu dktari tatizo lako huwa anakuandikia dawa. Sio kil wakati wanatumia vifaa km wanavyolalama eti xray angalu iwepo kila wilaya. Vifaa wanavyodai havipo haviwezi kuwashindisha kutoa matibabu.
 
Inawezekan mkuu, mbona ukimweleza tu dktari tatizo lako huwa anakuandikia dawa. Sio kil wakati wanatumia vifaa km wanavyolalama eti xray angalu iwepo kila wilaya. Vifaa wanavyodai havipo haviwezi kuwashindisha kutoa matibabu.

Mkuu mbona unaonekana mwelewa wa mambo,kweli hili linakushinda?
 
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.

Nineshapata diagnosis ya hii psychosis!:israel:
 
Tunasafari ndefu.

Kama utamweleza dakitari tumbo linakusumbua ukaapewa dawa lakin unasiku ya tatu ndo kwanza linazid, vifaa vya uchunguzi hakuna inakuwaje hapo mkuu?
 
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.

Hata kama wangeendelea na kazi hivyohivyo, bado watu wangekufa kwa kukosa huduma ya uhakika na kusababisha vilema ama vifo ambavyo vingeweza kuhepukika. Hata kama kunaukweli wa madai ya posho, hata hilo la vifaa si la kulipuuzia. Ukiangalia kwa makini tunaoumia zaidi ni sisi wananchi tunaoshabikia kuwa madai ya madaktari ni ya kipuuzi. Kama utaugua leo, hutahitaji hayo maslahi ya madaktari, bali utahitaji huduma bora itakayokuponya na kukuokoa maisha yako.
 
Kwenye hiyo rangi nyekundu inaonesha jinsi gani unafikilia kwa kutumia masaburi
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.
 
T scan ndo kitu gani?

hawa madaktari wanasema vifaa hawna. lakini sio kwao tu hakuna vifaa. mbona waalimu wanafundisha kwa vifaa duni? huku mwanafunzi amekaa chini? Mimi nilisoma darasa la kwanza mwananyamala b. 1979 nilikaa chini. sasa kila mtu akidai hawezi kufanya kazi mpaka apate vifaa (vya kisasa nafkiri ndo hawa madactari wanavita) itakuwaje sections zingine?
1. polisi watasema hawawezi kufanya kazi mpaka wapewe bulet proof vest, komputer ndani ya patrol cars , na finger print scan kwenye magari na mshahara wa 3.5mil kila polisi akopeshe gari.
2. Mwalimu atadai awe na big lcd monitor badala ya ule ubao mweusi, uwe connect fulltime na internet kwaajili ya kufundishia, kila mwanafunzi awe na ipad3 ili aweze kujisomea na mshahara wa 3.5mil kila mwalimu akopeshe gari
3.tanesko watadai biashara ya nguzo ife utengenezwe umeme wa wireless, na wapatiwe vifaa vya kisasa ili kufanya kazi zao visuri
4. wale wa fire ( mtajaza )( je mnavifaa au na njie mpo kwenye mgomo? kazi zenu ni ngumu kuliko hata za madoctors.
5. ttcl du zamani ili upate hii huduma lazima ukanunue nguzo na mazabazaba kibao thanks siku izi unasimu ya tsh 20,000/- wala huitaji kununua nguzo wala nini you are on air.

Tulihamia Maeneo ya muhimbili late 1979. hao ma profesa karibia wote nawajua toka wapo vijana wanaa huku "kitalu" enzi hizo hawana A wala B ila leo hii wana mahospitali yao ya private na wamekwapua vifaa hapo hapo muhimbili. Huyu waziri wetu wa afya alikuwa pale kipindi hicho ni denti, analijua hilo! ofcos yeye hakuwa mkwapuaji maana wao kwao walikuwa mbambo fresh!!!!!!!ilikuwa miaka ya 90' baba alikuwa head of state.

madactari ushauri wangu ni : watajeni wale wote wenye kukwapua mali ( vifaa vilivyokuwepo wakaweka vibovu ) na si kuipigia kelele serikali. imagine serikali inaweka flat screen monitor mwenzako anasema oh shit hii haifai kukaa hapa analeta cathod ray. yaani ile yenye mgongo(old fashen tena mbovu)
msipo wataja hapa mimi nitawataja mmoja mmoja
 
Ingekuwa kimya kabisa na wala madai wanayodai kuhusu vifaa vya kutendea kazi yasingekuwepo. Mfano Serikali ingeamua kuwalipa 3.5 mls basi nadhani ingekuwa imewamaliza kabisa na wasingethubutu kuingia mgomo. Wangesahau madai mengine yote, hii ni kwa sababu binadamu kiasili tumeumbwa wabinafsi, tusiojali wenzetu. Yule dokta nilisikia anasema nchi haina hata Tscan, hilo hata kama ni kweli naamini ni uzushi tu; hiyo wanataka kupata huruma yetu tu, sisi tunataka utaalum wao, maneno yao ya kitabibu na wala sio vifaa wanavyovisema. Mbona kutibiwa bila vifaa inawezekana kwa sana tu. Waache kutubabaisha issue ni maslahi na wala sio vifaa.

Nakusanya maoni ili kuisihi Serikali iwatoe madaktari wote wanaong'ang'ania mgomo, na ikibid ituruhusu tuwapige.

Sijawahi ona zuzu km ww yaani huoni umuhimu wa vifaa tiba!!?eti iwatoe wote.hivi unajua ku train Dr mmoja inachukua muda gani? au unahis ubunge huo kwamba akifa leo kesho mnafanya uchaguzi..
 
Kama wasomi bado tunawaza hivi basi watanzania tubaki watazamaji na. Tuwaache wanasiasa watibu, 2me practising without equipment! That's bush medicine. Doctors knows kuna vitu hatuwezi kufanya na kuna basic ambazo ni kufulu kutokua navyo. Thoughts become things.
 
Back
Top Bottom