TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,805
Ati nimesikia Kunafanyika Maandamano ya Kumpongeza Magufuli kwa Kuzuia Mchanga wa Magwangala asilimia 5% ya Dhahabu inayoibiwa Tanzania yasisafirishwe, Wakati huo huo asilimia 95% Ikiwa inachukuliwa Jukwa juukutoka Migodini kwa Private Jets!
Mimi Nasema Wanaompongeza Wanayo haki kikatiba, Kufanya hivyo! Na Waandamane! Lakini kuna haya Machafu aliyofanya Magufuli mifano michache ni
1) Kuwafukuzia watoto 7900 wa UDOM na kisha Kuwatukana ati ni Villaza!
2) Kung'ng'ania kuweka Kaimu Judge Mkuu kwa zaidi ya miezi Sita kwa Lengo ovu la kuuchukua Mhimili wa Mahakama Msukule
3) Kumwagiza Msukule wake wa kisiasa, Ndugai awafukuze Wabunge wasiompigia Makofi Bungeni, ili aweze "kudeal" nao.
4) Kumpakata Bashite Jambazi na Mfoji vyeti wakati akifukuza Maelfu ya Wengine Waliofoji Vyeti.
5) Kuiba 2.7 Billions Hazina na Kuhonga Nazo Wabunge wa CCM 10millions @
6) Kupakata Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo, Aliyepora Rambirambi, na kuwafunga walioenda kutoa Pole! Aibu na ovyo ovyo ovyo! Pia ikumbukwe huyu pia kavuruga Msiba wa Ndesamburo Mb.
7) Kwa kumsaidia Lipumba, Msukule mwingine, kuvunja Ofisi za CUF, Na pia Kutumia Walinzi aliompa Kwenda Kulabua Waandishi wa habari makofi! Huku wamevaa kininja! Ati doria unafanya doria kwenye premises za wengine, na huku umevaa kininja! Maelezo ya kunya! Na bado victims ndio wanashitakiwa!
Mimi nadhani Kwa haya Machache, watakao andamana kumpongeza Magufuli historia itawahukumu. Ingawa nawasamehe wengine Maana Zitaibiwa Billlions Kadhaa tena huko Hazina Walipwe kuandamana. Hii sio siri kuwa huyu anafanya Political Stunt!
Magufuli na Bashite akili zao zinafanana! Childish media Manipulation na Novice Political stunts ndio Trade Mark yao!
Nakumbuka hili la Michanga sio Jipya Amini Alishawafukuza Wahindi wenye Asili ya Kiingereza na Kisha Akajitapa ana Uwezo wa Kuwatumia Waingereza Chakula, Kwa Kebehi akachanga na Lori moja la Mboga mboga akamwambia Waziri Mkuu wa Uingereza alifuate! Alishangiliwa sana na Wajinga jinga aina ya Misukule na Cheerleader za kule Dodoma, Lakini yuko Wapi?
Chiluba Mlokole kama mie, (Maana mimi sichezi na kima hata kama ni kabila langu, dini yangu, au hata kama ni baba mzazi) Huyu mla aliyekuwa Corrupt to the core, Mshenzi na Mnafiki, aliyejitia Msafi akamweka Kaunda ndani kwa kufanya Political stunt ya Uwongo ya Kutaka, "Kujipindua" ili kaunda aonekane ndiye yeye alipanga Mapinduzi, ( Why he did this, uchaguzi ulikuwa umekaribia na tetesi zilikuwa Kaunda alipanga kugombea tena) akamweka Kaunda Ndani akasema Ukiua kwa Upanga Utakufa kwa Upanga, akamwachia Pale Nyerere, Mugabe na Mseven walipomwambia asilomwachia Kaunda watamtoa Utumbo! Chiluba yuko wapi?
Watch Malipo yako hapa Duniani, Ukiwa Kiongozi acha Unafiki, Hila, Uhuni na Uonezi, Tenda na Ongoza kwa haki Utapata heshima isiyofutika, hata pale itakapochelewa historia Itakuenzi tu!
Nasikia Kukerwa!
Mimi Nasema Wanaompongeza Wanayo haki kikatiba, Kufanya hivyo! Na Waandamane! Lakini kuna haya Machafu aliyofanya Magufuli mifano michache ni
1) Kuwafukuzia watoto 7900 wa UDOM na kisha Kuwatukana ati ni Villaza!
2) Kung'ng'ania kuweka Kaimu Judge Mkuu kwa zaidi ya miezi Sita kwa Lengo ovu la kuuchukua Mhimili wa Mahakama Msukule
3) Kumwagiza Msukule wake wa kisiasa, Ndugai awafukuze Wabunge wasiompigia Makofi Bungeni, ili aweze "kudeal" nao.
4) Kumpakata Bashite Jambazi na Mfoji vyeti wakati akifukuza Maelfu ya Wengine Waliofoji Vyeti.
5) Kuiba 2.7 Billions Hazina na Kuhonga Nazo Wabunge wa CCM 10millions @
6) Kupakata Mkuu wa Mkoa wa Arusha Gambo, Aliyepora Rambirambi, na kuwafunga walioenda kutoa Pole! Aibu na ovyo ovyo ovyo! Pia ikumbukwe huyu pia kavuruga Msiba wa Ndesamburo Mb.
7) Kwa kumsaidia Lipumba, Msukule mwingine, kuvunja Ofisi za CUF, Na pia Kutumia Walinzi aliompa Kwenda Kulabua Waandishi wa habari makofi! Huku wamevaa kininja! Ati doria unafanya doria kwenye premises za wengine, na huku umevaa kininja! Maelezo ya kunya! Na bado victims ndio wanashitakiwa!
Mimi nadhani Kwa haya Machache, watakao andamana kumpongeza Magufuli historia itawahukumu. Ingawa nawasamehe wengine Maana Zitaibiwa Billlions Kadhaa tena huko Hazina Walipwe kuandamana. Hii sio siri kuwa huyu anafanya Political Stunt!
Magufuli na Bashite akili zao zinafanana! Childish media Manipulation na Novice Political stunts ndio Trade Mark yao!
Nakumbuka hili la Michanga sio Jipya Amini Alishawafukuza Wahindi wenye Asili ya Kiingereza na Kisha Akajitapa ana Uwezo wa Kuwatumia Waingereza Chakula, Kwa Kebehi akachanga na Lori moja la Mboga mboga akamwambia Waziri Mkuu wa Uingereza alifuate! Alishangiliwa sana na Wajinga jinga aina ya Misukule na Cheerleader za kule Dodoma, Lakini yuko Wapi?
Chiluba Mlokole kama mie, (Maana mimi sichezi na kima hata kama ni kabila langu, dini yangu, au hata kama ni baba mzazi) Huyu mla aliyekuwa Corrupt to the core, Mshenzi na Mnafiki, aliyejitia Msafi akamweka Kaunda ndani kwa kufanya Political stunt ya Uwongo ya Kutaka, "Kujipindua" ili kaunda aonekane ndiye yeye alipanga Mapinduzi, ( Why he did this, uchaguzi ulikuwa umekaribia na tetesi zilikuwa Kaunda alipanga kugombea tena) akamweka Kaunda Ndani akasema Ukiua kwa Upanga Utakufa kwa Upanga, akamwachia Pale Nyerere, Mugabe na Mseven walipomwambia asilomwachia Kaunda watamtoa Utumbo! Chiluba yuko wapi?
Watch Malipo yako hapa Duniani, Ukiwa Kiongozi acha Unafiki, Hila, Uhuni na Uonezi, Tenda na Ongoza kwa haki Utapata heshima isiyofutika, hata pale itakapochelewa historia Itakuenzi tu!
Nasikia Kukerwa!