matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Wadau nimesikliza mjadala na michango ya wabunge ktk kamati
teule yabunge ya kumchunguza Jairo.Pamoja na mambo mengine
wabunge wameunga mkono Luhanjo kuwajibishwa.
Mh Zambi alikwenda mbali zaidi akisema alichokifanya Luhanjo
ni kulindana kwa sababu ya kufanya kazi na Jairo muda mrefu.
Sasa kama hiyo nikweli jeuri hiyo ya kukosa haya Luhanjo
aliipata wapi.
Tuwe wakweli Jk alikuwa hajui kuhusu maamuzi ya Luhanjo
mnataka kutuaminisha kuwa Luhanjo hakupewa maagizo na jk
na jk alipoona bunge limechachamaa akamtosa Luhanjo?naomba tuwe wakweli.
Kosa la Mh Raisi halina tofauti na la Ngeleja mana kam Raisi haakujua katibu
mkuu amechukua maamuzi hayo ni udhaifu wa hali ya juu.
Kwangu mimi hatuwezi kumtenganisha Luhanjo na Raisi,
Sijajua kwanini wabunge wanapindisha msitari,km jk hahusiki n basi ngeleja naye tutakuwa tunamuonea.
Naomba kuwasilisha.
teule yabunge ya kumchunguza Jairo.Pamoja na mambo mengine
wabunge wameunga mkono Luhanjo kuwajibishwa.
Mh Zambi alikwenda mbali zaidi akisema alichokifanya Luhanjo
ni kulindana kwa sababu ya kufanya kazi na Jairo muda mrefu.
Sasa kama hiyo nikweli jeuri hiyo ya kukosa haya Luhanjo
aliipata wapi.
Tuwe wakweli Jk alikuwa hajui kuhusu maamuzi ya Luhanjo
mnataka kutuaminisha kuwa Luhanjo hakupewa maagizo na jk
na jk alipoona bunge limechachamaa akamtosa Luhanjo?naomba tuwe wakweli.
Kosa la Mh Raisi halina tofauti na la Ngeleja mana kam Raisi haakujua katibu
mkuu amechukua maamuzi hayo ni udhaifu wa hali ya juu.
Kwangu mimi hatuwezi kumtenganisha Luhanjo na Raisi,
Sijajua kwanini wabunge wanapindisha msitari,km jk hahusiki n basi ngeleja naye tutakuwa tunamuonea.
Naomba kuwasilisha.