KV LONDON
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 903
- 241
Aliyekuwa waziri mkuu wa kwanza kwa utawala wa JK ndg Edward Lowasa 'EL' maarufu kama mzee wa 'RICHMOND' au mzee wa 'White hair' nadiriki kusema kuwa kama akipata nafasi ya kugombea taasisi ya Uraisi atakuwa na kura yangu moja kwa moja pamoja na uanachama wangu makini wa CHADEMA.
Hii ni kutokana na sababu zifuatazo;
1. Ni mchapakazi
2. Hana woga wa aina yoyote
3. Anajiamini kwa mambo anayoyasimamia
4. Anawapenda wananchi.
5. Siyo fisadi kama tunavyomtangaza.
6. Ni mpenda maendeleo kuliko kitu kingine.
7. Anasimamia maslahi ya taifa zaidi kuliko chama.
Hayo nimeyaona kwa EL' kuliko ninavyomwona Pinda.
Lowasa aliisimamia serekali kikamilifu sana ukimlinganisha na Pinda aliyejipambanua kama mtoto wa 'MKULIMA' kumbe ni mtoto wa mjini(mjanja tu), anajua anachokisema ila hawezi na wala hathubutu kukisimamia ila EL aliweza na nina imani ataweza.
Tutofautiane kwa hoja na siyo viroja na matusi yasiyojenga.
Nimeyasema haya nikiwa na imani kuwa Tanzania tunahitaji viongozi makini na siyo maswala ya vyama'.
Mungu ibariki Tz.
Hii ni kutokana na sababu zifuatazo;
1. Ni mchapakazi
2. Hana woga wa aina yoyote
3. Anajiamini kwa mambo anayoyasimamia
4. Anawapenda wananchi.
5. Siyo fisadi kama tunavyomtangaza.
6. Ni mpenda maendeleo kuliko kitu kingine.
7. Anasimamia maslahi ya taifa zaidi kuliko chama.
Hayo nimeyaona kwa EL' kuliko ninavyomwona Pinda.
Lowasa aliisimamia serekali kikamilifu sana ukimlinganisha na Pinda aliyejipambanua kama mtoto wa 'MKULIMA' kumbe ni mtoto wa mjini(mjanja tu), anajua anachokisema ila hawezi na wala hathubutu kukisimamia ila EL aliweza na nina imani ataweza.
Tutofautiane kwa hoja na siyo viroja na matusi yasiyojenga.
Nimeyasema haya nikiwa na imani kuwa Tanzania tunahitaji viongozi makini na siyo maswala ya vyama'.
Mungu ibariki Tz.