imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,035
Umejuaje? mimi naisoma samsung yangu ya kikorea.Nyie ndo mlisema ataisoma no.wakt mpk saiv we ushasoma mpk za kikorea
Umejuaje? mimi naisoma samsung yangu ya kikorea.Nyie ndo mlisema ataisoma no.wakt mpk saiv we ushasoma mpk za kikorea
Hakuwalazimisha...walitoa on their own free will... na walijua kuna kupata na kukosa ...hakuna dhambi yoyote hapoWaliofilisika ni waliomchangia/Kaulize wafanyabiashara wa Arusha na kILIMANJARO NA MANYARA waliozagaa Tanzania nzima hali zao waliochangia mamilioni zilivyo hoi.Wengi hawana hamu na siasa na wameapa hawaji piga kura milele.Nenda tu kawatembelee uwaulize.Wengine walikopa kwa ahadi watalipwa mzee akishinda.Mikopo hailipiki wengine wanauza biashara na mali zao.Usimwangalie yeye kaangalie hali za waliomchangia.
Mambo private sana,Una uhakika gan kuwa hajafilisika?
Hapo Red, Naona Walivyoona Serikali Inalazimisha Makampuni Ya Simu Kuwa DSE Wakamtuma Hussein Bashe, Katetea Balaa, Sema HakufanikiwaMkuu Lowasa ni mchoyo Na mbinafsi. Hutumia raslimali za wenzake kujinufaisha binafsi za kwake hagusi. Anahisa kwenye makampuni makubwa ya kinyonyaji na akina rostam Aziz Na Karamagi kama vile TICS, Vodacom, Dowans, SAS, Ranch za Mifugo, Real Estates Na Madini.
Nitajiri mchoyo Na mbinafsi.
Njia ya kutofilisika ni kutumia wakati unatafuta.Nimewaza kwa sauti; kama ni kweli Lowassa pesa zote zile alizozitumia kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi na badae kuhamia CHADEMA zingekuwa zake kwanini hajafirisika wala japo kuyumba kiuchumi?
Hata waliokuwa wanahudhuria hapohapo kwenye mikutano nao walikuwa wanabandikwa macho ya mbao ili waone watu ni wengi?Hebu hariri habari yako.Wewe wasema. Watu walikuwa wanadanganywa kwa video feki na picha za fotoshopu ili wachangie zaidi na zaidi.
Aisee, Mbona Tunachekeshana Asubuhi Asubuhi Hii, HahaaKabakiwa na ng'ombe tu, sasa labda awe anatoa harambee ya kilo kilo ya nyama.
hata buku mbili kwa wajukuu zake hatoiLakini siku hz nadra sana kumsikia akitoa hata efu kumi kwenye harambee
Nimewaza kwa sauti; kama ni kweli Lowassa pesa zote zile alizozitumia kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi na badae kuhamia CHADEMA zingekuwa zake kwanini hajafirisika wala japo kuyumba kiuchumi?
Taja mmojawapo inaonekana unawajua sana waliochangiaWaliofilisika ni waliomchangia/Kaulize wafanyabiashara wa Arusha na kILIMANJARO NA MANYARA waliozagaa Tanzania nzima hali zao waliochangia mamilioni zilivyo hoi.Wengi hawana hamu na siasa na wameapa hawaji piga kura milele.Nenda tu kawatembelee uwaulize.Wengine walikopa kwa ahadi watalipwa mzee akishinda.Mikopo hailipiki wengine wanauza biashara na mali zao.Usimwangalie yeye kaangalie hali za waliomchangia.
Dah.. Sasa wangepataje? Ukisikia madili...ndiyo hayaHakuwalazimisha...walitoa on their own free will... na walijua kuna kupata na kukosa ...hakuna dhambi yoyote hapo