Ni kama tutakavyoumia kuona kapigwa chini ubunge sababu ya utoro.Naona mnauia sana kumuona Lisu yupo Uingereza
Hapo nimemjibu mleta mada.
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaHuyu Lisu kwa namna vijana wa upinzani walivyokua wakimsifu nikajua ni Mzalendo mno; ila kumbe ni Kati ya watu hovyo kuwahi tokea.
Yaani kwangu mtu yeyote anayeabudu ngozi nyeupe namshusha thamani kabisa.
Nimemfuta katika orodha ya watu ambao nilidhani wana akili. Bure kabisa.
Tuondolee ujuha wako hapa,mnang'ang'ania arudi ili mumpige bomu maana kwa risasi mumeshindwa, mashetani wakibwa.Sishauri sana lissu kuendelea kukaa huko na zaidi zaidi kufanya ziara ilhali anajua kabisa yeye ni mbunge na pia jambo hilo linaweza hatarisha ubunge wake kutokana kitakachoonekana kuwa ni utoro.
Sijajua lakini kuna uzembe flani kwa wapizani hasa katika kufanya maamuzi na mbinu za kisiasa na sheria ambazo zinaweza watia matatizoni. Tumeona kwa mbowe na mwenzie ambao kiuhalisia wamestahili kuwekwa ndani kutokana na kudharau mahakama.
Sijajua hesabu zao zilikuwa nini lakini ni wazi zilikuwa miscalculated au za kipuuzi.binafsi nachukia uzembe au kukosa nidhamu. Hawa wanaokosea mashart madogo tu ya nidhamu tukiwapa nchi si watatutia mashakani pia?
Lissu kama umepona rudi home kuna kazi uendeleee nazo. Wasije kunyang'anya na ubunge kwa kosa la utoro.na utakataaje ikiwa unaonekana kwenye media sehemu tofauti na hospitalini?
Wapinzan mnapaswa kila move iwe calculated impact yake.
Tunajua mpango wenu wa kutaka kumvua ubunge,wapumbavu wakubwa nyie.Nina watu wengi sana wanaohitaji mchango wangu. Naendelea kuwachangia hao.
Usalama wake ni muhimu kuliko huo ubunge, wauaji wapo wanamsubiri arudi wamalizie kiporo cha Dodoma. Hivi kwa nini mtu akiwa CCM anakuwa na roho ya kiuaji?Kama umemuelewa jamaa katoa ushauri mzuri sana..kituo cha matibabu cha lissu ni ubelgiji..lakini kwa sasa yupo ziarani nje ya ubelgiji..ina maana katoka kwenye matibabu..na ana uwezo wa kufanya mambo mengine ikiwemo kutembelea wapiga kura au kutulia tu bungeni..kitendo cha yeye kutoonekana bungeni wakati hayupo kituo cha matibabu huo ni utoro..ikija kumgharimu msije kutoa povu..hata ya mbowe watu walisema mkatoa povu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Weusi wenzako wanapotaka kujiunga na kukunyima pesa ya matibabu na mzungu akagharamia matibabu yako nani atakuwa na maana katika maisha yako?Huyu Lisu kwa namna vijana wa upinzani walivyokua wakimsifu nikajua ni Mzalendo mno; ila kumbe ni Kati ya watu hovyo kuwahi tokea.
Yaani kwangu mtu yeyote anayeabudu ngozi nyeupe namshusha thamani kabisa.
Nimemfuta katika orodha ya watu ambao nilidhani wana akili. Bure kabisa.
Huu ndio unafiki..haya ngozi nyeusi wamemuchangia kiasi gani..nchi hii bila unafiki inaweza kufika mbaliHuyu Lisu kwa namna vijana wa upinzani walivyokua wakimsifu nikajua ni Mzalendo mno; ila kumbe ni Kati ya watu hovyo kuwahi tokea.
Yaani kwangu mtu yeyote anayeabudu ngozi nyeupe namshusha thamani kabisa.
Nimemfuta katika orodha ya watu ambao nilidhani wana akili. Bure kabisa.
Huu ndio unafiki..haya ngozi nyeusi wamemuchangia kiasi gani..nchi hii bila unafiki inaweza kufika mbali
Fikiria angelikuwa baba yako au ndugu yako wa damu..ungekuja na hoja yenye uharo kama hii
Tafadhali mwacheni Lisu apumzike kwanza,risasi 38 sio kitu kidogo,ni Mungu tu ndie kampigania..ngozi nyeusi hamkutaka aendelee kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali lingekufa tuHuyu Lisu kwa namna vijana wa upinzani walivyokua wakimsifu nikajua ni Mzalendo mno; ila kumbe ni Kati ya watu hovyo kuwahi tokea.
Yaani kwangu mtu yeyote anayeabudu ngozi nyeupe namshusha thamani kabisa.
Nimemfuta katika orodha ya watu ambao nilidhani wana akili. Bure kabisa.
Sasa mbona unamtaka arudi wakati haukumchangia? Hangaika na hao watuhewa unaodai unawachangia.Nina watu wengi sana wanaohitaji mchango wangu. Naendelea kuwachangia hao.
We ni bwege tuuNina watu wengi sana wanaohitaji mchango wangu. Naendelea kuwachangia hao.
Sishauri sana lissu kuendelea kukaa huko na zaidi zaidi kufanya ziara ilhali anajua kabisa yeye ni mbunge na pia jambo hilo linaweza hatarisha ubunge wake kutokana kitakachoonekana kuwa ni utoro.
Sijajua lakini kuna uzembe flani kwa wapizani hasa katika kufanya maamuzi na mbinu za kisiasa na sheria ambazo zinaweza watia matatizoni. Tumeona kwa mbowe na mwenzie ambao kiuhalisia wamestahili kuwekwa ndani kutokana na kudharau mahakama.
Sijajua hesabu zao zilikuwa nini lakini ni wazi zilikuwa miscalculated au za kipuuzi.binafsi nachukia uzembe au kukosa nidhamu. Hawa wanaokosea mashart madogo tu ya nidhamu tukiwapa nchi si watatutia mashakani pia?
Lissu kama umepona rudi home kuna kazi uendeleee nazo. Wasije kunyang'anya na ubunge kwa kosa la utoro.na utakataaje ikiwa unaonekana kwenye media sehemu tofauti na hospitalini?
Wapinzan mnapaswa kila move iwe calculated impact yake.
Kama umemuelewa jamaa katoa ushauri mzuri sana..kituo cha matibabu cha lissu ni ubelgiji..lakini kwa sasa yupo ziarani nje ya ubelgiji..ina maana katoka kwenye matibabu..na ana uwezo wa kufanya mambo mengine ikiwemo kutembelea wapiga kura au kutulia tu bungeni..kitendo cha yeye kutoonekana bungeni wakati hayupo kituo cha matibabu huo ni utoro..ikija kumgharimu msije kutoa povu..hata ya mbowe watu walisema mkatoa povu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko jela Kwa amri ya jiwe, na ndio maana hataki rufaa isikilizwe.
Sent using Jamii Forums mobile app