Engager JF-Expert Member Jan 12, 2011 1,273 2,648 May 13, 2023 #1 Ingekuwa nafuu hata tukisema 'Boni maro'. Yaani ndo UBOHO?! hivi aliyepitisha hili neno alikuwa mswahili kweli? Jamani Uboho inatia ukakasi kutamka. Ni nani mwenye mamlaka atuangalizie jina mbadala?
Ingekuwa nafuu hata tukisema 'Boni maro'. Yaani ndo UBOHO?! hivi aliyepitisha hili neno alikuwa mswahili kweli? Jamani Uboho inatia ukakasi kutamka. Ni nani mwenye mamlaka atuangalizie jina mbadala?
N nyanda madirisha JF-Expert Member Apr 1, 2019 380 636 May 20, 2023 #2 Shida siyo hilo neno tajwa. Shida ni wewe unavyojenga picha unapoliskia limetajwa