Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Mkuu usihangaike sana na mbumbumbu hawaNje ya mada kidogo! Vipi kishingo aendelee au atoke? Mana mkifungwa kishingo mbaya, mkibahatisha mpo kimya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usihangaike sana na mbumbumbu hawaNje ya mada kidogo! Vipi kishingo aendelee au atoke? Mana mkifungwa kishingo mbaya, mkibahatisha mpo kimya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu inabahatisha goli tatu??Nje ya mada kidogo! Vipi kishingo aendelee au atoke? Mana mkifungwa kishingo mbaya, mkibahatisha mpo kimya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ipi Morison ameangushwa, au mnataka mpewa penati isiyostahili,Muhindi wa mikia anaunawa mpira ndani ya 18 refa kipofu..Morrison anaangushwa ndani ya 18 refa kipofu
Yaani hapo ndo ulipoonesha uongo wa hali juu, Mo ni wa ngapi kwa matajiri vijana Africa, Au huo utafit mmefanyia pale Kwenye bwawa lenuMpira ni mchezo wa hadharani, Yanga kulalamika juu ya marefa wako sahihi na malalamiko yao ni ya msingi haiwezekani wao Yanga wakicheza matukio ya penati ambazo endapo zingetolewa zingewanufaisha hazitolewi, Alafu mpinzani wake wa jadi simba amenufaika na makosa ya marefa karibu mechi tano mfulululizo ambazo kama kungekua na umakini ata idadi ya point kati yao ingekua ndogo na hivi tunavyo kandika Simba ingekua imesha tolewa katika FA na mwadui.
Matokeo yake Simba anaweza akawa bingwa wa Vodacom kwa kubebwa, ila aibu inakuja kwenye mashindano ya Caf ya vilabu Timu inapigwa goli tanotano mfululizo mna anza kugombana na Makocha,wachezaji, Marefa mlisha sahau kua hamkustahili kutwaa ubingwa ila mlibebwa.
Kama mnatarajia MO ataendelea kuhonga mbaka kule kwenye mashindano ya vilabu afrika nina hakika ndaniya miaka mitano MO wanakwenda kufilisika kama alivyo poromoka katika jedwali la matajiri vijana wa ki afrika. Kutoka namba moja sasa yupo 16, mwakani atakua 32.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muhindi wa mikia anaunawa mpira ndani ya 18 refa kipofu..Morrison anaangushwa ndani ya 18 refa kipofu
Tufanye matokeo 3-1 basi. Ile iwe goli kabisaMuhindi wa mikia anaunawa mpira ndani ya 18 refa kipofu..Morrison anaangushwa ndani ya 18 refa kipofu
Malalamiko fcMuhindi wa mikia anaunawa mpira ndani ya 18 refa kipofu..Morrison anaangushwa ndani ya 18 refa kipofu
Nyinyi ambao huwa hamhongi mnabeba ubingwa kihalali mmewahi fanya lipi la kukumbukwa huko CAF???Mpira ni mchezo wa hadharani, Yanga kulalamika juu ya marefa wako sahihi na malalamiko yao ni ya msingi haiwezekani wao Yanga wakicheza matukio ya penati ambazo endapo zingetolewa zingewanufaisha hazitolewi, Alafu mpinzani wake wa jadi simba amenufaika na makosa ya marefa karibu mechi tano mfulululizo ambazo kama kungekua na umakini ata idadi ya point kati yao ingekua ndogo na hivi tunavyo kandika Simba ingekua imesha tolewa katika FA na mwadui.
Matokeo yake Simba anaweza akawa bingwa wa Vodacom kwa kubebwa, ila aibu inakuja kwenye mashindano ya Caf ya vilabu Timu inapigwa goli tanotano mfululizo mna anza kugombana na Makocha,wachezaji, Marefa mlisha sahau kua hamkustahili kutwaa ubingwa ila mlibebwa.
Kama mnatarajia MO ataendelea kuhonga mbaka kule kwenye mashindano ya vilabu afrika nina hakika ndaniya miaka mitano MO wanakwenda kufilisika kama alivyo poromoka katika jedwali la matajiri vijana wa ki afrika. Kutoka namba moja sasa yupo 16, mwakani atakua 32.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa kupuliza madawa aka mikia fcHii timu siku hizi inalalamika mfano hakuna, kila ikipatwa na dhahama Simba kwao anahusika. Hakuna jema kwao kila kitu lawama.