son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 515
- 1,364
Wana Jf huku tumejadiliana tumeshindwa kupata jawabu kila mmoja anavutia kamba kwake.
Hivi Congo ina bahari au haina bahari
Hivi Congo ina bahari au haina bahari
INAYOWana Jf huku tumejadiliana tumeshindwa kupata jawabu kila mmoja anavutia kamba kwake.
Hivi Congo ina bahari au haina bahari
View attachment 1532029View attachment 1532030
Hata google unashindwa namna ya kuitumia?Wana Jf huku tumejadiliana tumeshindwa kupata jawabu kila mmoja anavutia kamba kwake.
Hivi Congo ina bahari au haina bahari
View attachment 1532029View attachment 1532030
Drc ,inapakana kivipKuna nchi mbili tofauti zinazotumia jina la Congo,
Kuna Congo DRC- Kinshasa ambayo haina bahari ( landlocked) ingawa Kuna eneo dogo inapakana Moja kwa Moja na bahari ya Atlantic.
Pili Ni Congo Brazaville ambayo inapakana na bahari ya Atlantic.
Ipi unayoulizia?
Acha longolongo toa jibuHata google unashindwa namna ya kuitumia?
Watoto wa siku hizi hovyo kabisa.
Hata google unashindwa namna ya kuitumia?
Watoto wa siku hizi hovyo kabisa.
Drc ni land locked country haina bahari?Kuna nchi mbili tofauti zinazotumia jina la Congo,
Kuna Congo DRC- Kinshasa ambayo haina bahari ( landlocked) ingawa Kuna eneo dogo inapakana Moja kwa Moja na bahari ya Atlantic.
Pili Ni Congo Brazaville ambayo inapakana na bahari ya Atlantic.
Ipi unayoulizia?
Wana Jf huku tumejadiliana tumeshindwa kupata jawabu kila mmoja anavutia kamba kwake.
Hivi Congo ina bahari au haina bahari
View attachment 1532029View attachment 1532030
Hauna atlas hapo?
Huo ni mkondo tu wa bahari ,bahari ipo Angola kama wanayo bahari kwann hawana bandari waje kushusha bidhaa bandari ya DarKwenye hiyo ramani uliyoiweka wewe mwenyewe unaona nini???-- hiyo ramani inajionyesha wazi kwamba DRC imepakana na bahari ya Atlantic upande wake wa magharibi.
Soma pia hapo chini.
View attachment 1532099
Huo ni mkondo tu hawana bahari waleInayo, pwani yake ina urefu wa kama 40km hivi kwenye bahari ya Atlantic.
Kufanya biashara na mataifa ya Asia kama China, India, Malaysia n.k ni rahisi zaidi kwa kutumia bandari za mashariki mwa Africa kama Mombasa na DSM.
Ni kama swali la kijinga lakini lina mantiki kubwa, cha kuongeza je kama ina bahari bandari wanayo? Na kama bandari wanayo ni kwa nini wategemee bandari zetu?Maswali mengine kweli hayahitajiki hapa JF.