Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 345
Nataka nijue kama kweli haya mambo yapo maana tokea nizaliwe naskia lakini sjawahi kushuhudia kwa macho yangu wala kupitia kwa mtu wangu wa karibu yoyote yule. Sasa naomba kama kweli wewe ni mganga/mchawi fanya yafuatayo:
1) Niambie jina langu lote la kweli tofauti na hili la kubuni nnalotumia hapa jukwaani.
2) Niambie nimezaliwa wapi na hospitali gani?
3) Niambie kwa sasa ninaishi wapi na ninafanya nini?
4) Niambie kwenye familia/ukoo wangu nani wapo hai na nani wamefariki?
Na cha 5 na mwisho kabisaa kitakachonifanya niamini jumla kuwa haya mambo ya uchawi yapo embu nitokee eneo nilipo na unambie, "umeamini sasa?"
1) Niambie jina langu lote la kweli tofauti na hili la kubuni nnalotumia hapa jukwaani.
2) Niambie nimezaliwa wapi na hospitali gani?
3) Niambie kwa sasa ninaishi wapi na ninafanya nini?
4) Niambie kwenye familia/ukoo wangu nani wapo hai na nani wamefariki?
Na cha 5 na mwisho kabisaa kitakachonifanya niamini jumla kuwa haya mambo ya uchawi yapo embu nitokee eneo nilipo na unambie, "umeamini sasa?"