Kama kweli watanzania wana msapoti Tundu Lissu basi yafanyike maandamano ya AMANI nchi nzima!

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Kuna maneno mengi huku mitaani kuhusu anachoongea Tundu Lissu kila kukicha kwa mustakabali wa Uhuru wa kutoa maoni na suala zima la Demokrasi nchini.

Kufuatia kukamatwa kwake jana na Polisi Airport akielekea Kigali Rwanda kwenye Mkutano wa Kimataifa basi kama kweli Tundu Lissu anachokifanya ni muhimu sana kwa nchi nategemea mawakili na wanainchi na wapenda maendeleo na Hali Tanzania wataanzisha Vuguvugu la maandamano ya AMANI ya kumsapoti Tundu Lissu.

Kinyume na hapo ni USALITI na UNAFIKI kwa Tundu Lissu tukijifanya tunampenda na kumsapoti kumbe tunamzomea MOYONI.
 
Kuna maneno mengi huku mitaani kuhusu anachoongea Tundu Lissu kila kukicha kwa mustakabali wa Uhuru wa kutoa maoni na suala zima la Demokrasi nchini.

Kufuatia kukamatwa kwake jana na Polisi Airport akielekea Kigali Rwanda kwenye Mkutano wa Kimataifa basi kama kweli Tundu Lissu anachokifanya ni muhimu sana kwa nchi nategemea mawakili na wanainchi na wapenda maendeleo na Hali Tanzania wataanzisha Vuguvugu la maandamano ya AMANI ya kumsapoti Tundu Lissu.

Kinyume na hapo ni USALITI na UNAFIKI kwa Tundu Lissu tukijifanya tunampenda na kumsapoti kumbe tunamzomea MOYONI.
katuma ujumbe kwa watawala na umefika, tuna sababu gani ya kuandamana?? Wakati jumatatu atatokea mahakamani??
 
Msimamo wa Nyerere dhini ya tabia za kidikteta, asema lazima upigiwe kelele

  • Nchi inaongozwa kwa katiba na siyo kwa ujanja ujanja
  • wananchi ni muhimu kuwa huru, wasiwe waoga kupigia kelele viogozi wasiofuata katiba na sheria
  • tusijenge tabia ya kuwa na wananchi wenye hofu kusema jambo linalohusu nchi yao ikiwa haiendi sawa sawa
  • Tuwapigie kelele madikteta
  • Mwl. Nyerere atoa mawazo yake ya mbinu za kuzuia u-Dikteta
  • tabia ya kuzuia vikao ikemewe na mambo ya nchi yazungumziwe kwa uwazi
  • Maamuzi ya kidemokrasia hutokana na vikao hata CCM pia lazima wasikwepeshe jambo hilo
  • haifai kiongozi kuendekeza udini na ukabila
  • Wabunge lazima kuwa na uhuru wa kuisema serikali na kama anatoka chama tawala akiona hoja zake hazikubaliki aoneshe hivyo kwa kujiuzulu na akijiuzulu lazima aseme waziwazi sababu za kujiuzulu kwa umma.
  • kiongozi asiwe mwoga wa kushawishi jambo kupitia vikao vya chama maana maamuzi ya mtu mmoja kupitia matamko siyo demokrasia


Source: Ade Link TV
 
Msimamo wa Nyerere dhini ya tabia za kidikteta, asema lazima upigiwe kelele

  • Nchi inaongozwa kwa katiba na siyo kwa ujanja ujanja
  • wananchi ni muhimu kuwa huru, wasiwe waoga kupigia kelele viogozi wasiofuata katiba na sheria
  • tusijenge tabia ya kuwa na wananchi wenye hofu kusema jambo linalohusu nchi yao ikiwa haiendi sawa sawa
  • Tuwapigie kelele madikteta
  • tabia ya kuzuia vikao ikemewe na mambo ya nchi yazungumziwe kwa uwazi
  • Maamuzi ya kidemokrasia hutokana na vikao hata CCM pia lazima wasikwepeshe jambo hilo
  • haifai kiongozi kuendekeza udini na ukabila
  • Wabunge lazima kuwa na uhuru wa kuisema serikali na kama anatoka chama tawala akiona hoja zake hazikubaliki aoneshe hivyo kwa kujiuzulu
  • kiongozi asiwe mwoga wa kushawishi jambo kupitia vikao vya chama maana maamuzi ya mtu mmoja kupitia matamko siyo demokrasia


Source: Ade Link TV


Kind of a philosophical foecast
 
Zile blaa blaa za Lissu hata yeye haamini aliyoyasema!
Ametaka Watu wawe Majasiri na wawe tayari kujaa magerezani kwa Kumpinga Rais lakin yeye Juzi kagoma kutoka Mahakamani kuepuka Kukamatwa!

Huwa Pakitulia anaanzisha uchochezi ili akishtakiwa alipwe gharama za kusimamia kesi kupitia Ruzuku ya Chama!
 
Zile blaa blaa za Lissu hata yeye haamini aliyoyasema!
Ametaka Watu wawe Majasiri na wawe tayari kujaa magerezani kwa Kumpinga Rais lakin yeye Juzi kagoma kutoka Mahakamani kuepuka Kukamatwa!

Huwa Pakitulia anaanzisha uchochezi ili akishtakiwa alipwe gharama za kusimamia kesi kupitia Ruzuku ya Chama!
Anaanzisha miradi kwa mawakili siyo!!
 
Kuna maneno mengi huku mitaani kuhusu anachoongea Tundu Lissu kila kukicha kwa mustakabali wa Uhuru wa kutoa maoni na suala zima la Demokrasi nchini.

Kufuatia kukamatwa kwake jana na Polisi Airport akielekea Kigali Rwanda kwenye Mkutano wa Kimataifa basi kama kweli Tundu Lissu anachokifanya ni muhimu sana kwa nchi nategemea mawakili na wanainchi na wapenda maendeleo na Hali Tanzania wataanzisha Vuguvugu la maandamano ya AMANI ya kumsapoti Tundu Lissu.

Kinyume na hapo ni USALITI na UNAFIKI kwa Tundu Lissu tukijifanya tunampenda na kumsapoti kumbe tunamzomea MOYONI.
Wahenga wanasema "kimya kina mshindo Mkuu " na "aliye juu mgonje chini " na "subira huvuta kheri" na " mvumilivu hula mbivu" sasa huyo jamaa Kama alitupigia pushup Bila kuambiwa , sasa 2020 ataruka kichurachura lakini kura zetu hapati ngoo. Sisi atatuona waoga wajinga na Ktk maandamano hatuji Lakini maandamano ambayo tutajitokeza ni maandamano ya 2020. Kama wahenga walivyosema "subira huvuta kheri "na sisi tunasubiri 2020.
 
Wahenga wanasema "kimya kina mshindo Mkuu " na "aliye juu mgonje chini " na "subira huvuta kheri" na " mvumilivu hula mbivu" sasa huyo jamaa Kama alitupigia pushup Bila kuambiwa , sasa 2020 ataruka kichurachura lakini kura zetu hapati ngoo. Sisi atatuona waoga wajinga na Ktk maandamano hatuji Lakini maandamano ambayo tutajitokeza ni maandamano ya 2020. Kama wahenga walivyosema "subira huvuta kheri "na sisi tunasubiri 2020.

Mkifikisha walau kura mlizopata 2015 basi mna bahati sana!
 
Wahenga wanasema "kimya kina mshindo Mkuu " na "aliye juu mgonje chini " na "subira huvuta kheri" na " mvumilivu hula mbivu" sasa huyo jamaa Kama alitupigia pushup Bila kuambiwa , sasa 2020 ataruka kichurachura lakini kura zetu hapati ngoo. Sisi atatuona waoga wajinga na Ktk maandamano hatuji Lakini maandamano ambayo tutajitokeza ni maandamano ya 2020. Kama wahenga walivyosema "subira huvuta kheri "na sisi tunasubiri 2020.
Huyu huwa anashinda kwamiujiza hata kama kura zake hazitoshi
 
Zile blaa blaa za Lissu hata yeye haamini aliyoyasema!
Ametaka Watu wawe Majasiri na wawe tayari kujaa magerezani kwa Kumpinga Rais lakin yeye Juzi kagoma kutoka Mahakamani kuepuka Kukamatwa!

Huwa Pakitulia anaanzisha uchochezi ili akishtakiwa alipwe gharama za kusimamia kesi kupitia Ruzuku ya Chama!

Unadhani hii propaganda nyepesi hivi inatuhamisha kwenye ukweli wa alichokisema Lissu. Kwa taarifa yako ukweli huwa unajisimamia wenyewe na tunajua maumivu yanayoendelea ndani kwa ndani hata watu wasipoondamana ila ukweli hubaki hivyohivyo na haubadiliki. Tunajua ukweli utamuacha Lissu na mateso makubwa hilo halina ubishi, na wanaotumia madaraka watapata faraja ya muda ila rohoni tunajua wanaumia kiasi gani na ni maumivu ya muda mrefu. Achana na ukweli ndugu.
 
Mkifikisha walau kura mlizopata 2015 basi mna bahati sana!

Mkuu hata tusipopata kura yoyote ni sawa maana tunajitambua na tunaujua ukweli. Ni dhahiri 2020 hakuna uchaguzi bali kiinimacho cha uchaguzi. Tunajua mtashinda sio kwa kukubalika bali ni kwa hofu mliyoijenga maana maisha yetu ni magumu na hamna suluhisho. Ila viongozi na familia zenu mnakula vizuri, mishahara mikubwa, watoto wenu wanaenda shule nzuri nk. Katika mazingira hayo ni lazima mtatumia nguvu kubwa kuhakikisha mnashinda. Tunaona kabisa hamna hoja za ushawishi wala mvuto bali jazba, nguvu na kulazimisha kuonekana mnakubalika. Kwa hiyo ushindi wenu wa 2020 uko wazi lakini utakuwa wa hila tu.
 
Kuna maneno mengi huku mitaani kuhusu anachoongea Tundu Lissu kila kukicha kwa mustakabali wa Uhuru wa kutoa maoni na suala zima la Demokrasi nchini.

Kufuatia kukamatwa kwake jana na Polisi Airport akielekea Kigali Rwanda kwenye Mkutano wa Kimataifa basi kama kweli Tundu Lissu anachokifanya ni muhimu sana kwa nchi nategemea mawakili na wanainchi na wapenda maendeleo na Hali Tanzania wataanzisha Vuguvugu la maandamano ya AMANI ya kumsapoti Tundu Lissu.

Kinyume na hapo ni USALITI na UNAFIKI kwa Tundu Lissu tukijifanya tunampenda na kumsapoti kumbe tunamzomea MOYONI.

Kuna Sikh hata Mwigulu atajikuta yuko peke yake asubiri muda ni Dada,amuukize na Nape na Bolleni Mtengeti.

Nitawashangaa wanasheria kama hawatenda kwa nguvu zao zote kumback Lissu.
 
Published on 20 Jul 2017

Hofu Hofu isiruhusiwe kutamalaki nchini, Nchi iongozwe kwa kufuata katiba na sheria

Baada ya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe kuja juu na kutoa ya moyoni akionekana kutofurahishwa na taarifa iliyosambaa kwenye vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandaoni ikitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kwamba wanaitaka Jumuiya ya kimataifa kuinyima misaada Tanzania kutokana na ukiukwaji wa Demokrasia mfano, kukamatwa kwa viongozi wa upinzani”.

David Kafulila atoa mtizamo wake na kuunga mkono kuwa haki za binadamu, katiba inapovunjwa lazima wananchi wapaze sauti kwani yanayoendelea nchini hatuwezi kujitenga dunia na kujifanyia mambo kinyume na makubaliano ya kimataifa mfano UN (Umoja wa Mataifa) pia unasisitiza haki za binadamu.

Marekani inapingwa kuhusu kujitoa kwake ktk mkataba wa Mabadiliko ya Hali ya Mazingira /Hewa (Climate Change) hivyo hata Tanzania kupingwa kwa kukiukwa uhuru wa habari, haki za binadamu, mikutano ya hadhara ya vyama vya kisiasa, Bunge kusimamia serikali ......


Source: Muungwana TV
 
Mkuu hata tusipopata kura yoyote ni sawa maana tunajitambua na tunaujua ukweli. Ni dhahiri 2020 hakuna uchaguzi bali kiinimacho cha uchaguzi. Tunajua mtashinda sio kwa kukubalika bali ni kwa hofu mliyoijenga maana maisha yetu ni magumu na hamna suluhisho. Ila viongozi na familia zenu mnakula vizuri, mishahara mikubwa, watoto wenu wanaenda shule nzuri nk. Katika mazingira hayo ni lazima mtatumia nguvu kubwa kuhakikisha mnashinda. Tunaona kabisa hamna hoja za ushawishi wala mvuto bali jazba, nguvu na kulazimisha kuonekana mnakubalika. Kwa hiyo ushindi wenu wa 2020 uko wazi lakini utakuwa wa hila tu.

Umemwambia ukweli ambao wanaccm hawapendi kuusikia hata kuusema.Sizonje uongozi umemshinda,miradi yote ni ya JK anafungua mpaka iliyokwisha funguliwa na JK.Anatumia resources Nyingi akijifanya anapambana na rushwa na ufisadi wakati Sizonje mwenyewe ni zao la hiyo Rushwa na ufisadi.Hata Sizonje alikwapua Bilioni saba na kununua kivuko kibovu so utani ni wizi wa asubuhi kweupe na hili ni moja kati ya scandle zake.

CCM wanajua ni Lubuva ndiye aliyetufikisha hapa,Chuki binafsi za JK.

Ukiona vijana wanaotukana humu ni watoto wa watawala,au ndugu au marafiki,waliokula na kuvimbiwa sasa wakiwa huku wanatutapikia.

Zile clips zote za JKN Leo hakuna TBC wala ITV wenye guts za kuziweka zikasikika.Atakaye thubutu kuziweka atakuona cha mtema Kuni,kama hiyo TV station haitafungiwa na kufunguliwa kesi ya uchochezi kama si uhaini.

Ninashangaa watanzania hatujiulizi Leo hatumuenzi JKN?He maneno yake yanasemaje??Tunaogopa hata kumsikiliza Rais wa Kwanza wa Taiga letu jinsi Taifa lilivyokumbwa na uoga
 
Kuna maneno mengi huku mitaani kuhusu anachoongea Tundu Lissu kila kukicha kwa mustakabali wa Uhuru wa kutoa maoni na suala zima la Demokrasi nchini.

Kufuatia kukamatwa kwake jana na Polisi Airport akielekea Kigali Rwanda kwenye Mkutano wa Kimataifa basi kama kweli Tundu Lissu anachokifanya ni muhimu sana kwa nchi nategemea mawakili na wanainchi na wapenda maendeleo na Hali Tanzania wataanzisha Vuguvugu la maandamano ya AMANI ya kumsapoti Tundu Lissu.

Kinyume na hapo ni USALITI na UNAFIKI kwa Tundu Lissu tukijifanya tunampenda na kumsapoti kumbe tunamzomea MOYONI.
"Huyu boss wetu anapaswa kutenganisha siasa anazofanya na chama cha wanasheria. It is my own opinion kwamba si kila anachofanyiwa kwenye siasa kiletwe na huku TLS. The side effects itakuwa kwamba TLS is against the gvt, mtazamo ambao nafikiri sio sahihi.
*Even if you dont agree thts my observation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom