Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Ukiongeza na
20. Sakaya
21. Sita
22. Mwakyembe
23. Mwandosya.
70 zimefika jamani, VoNoCo itapigwa hatimae.
Tatizo ni kupata kura za nusu ya wabunge ili kumpiga chini PM.
Jamani wana jamvi samahani kwa kuuliza, kwanini Zitto amekuja na suala hili la kumpigia kura ya kutokuwa na imani na PM?. Pinda amefanya nini kibaya?.
Nadhani wabunge wanatakiwa kutia sahihi, so it will be a secret exercise. Ila wabunge wa magamba ni wanafiki sanaKama kura zitapigwa kwa siri na kuhesabiwa hadhari basi nusu itapatikana. Lakini kama zitapigwa hadhari na zika hesabiwa hadhari (wanosema ndiyo...ndoyooo, wanasema hapana.....) na kuhakikishia hata robo ya wabunge haitapatikana.
ivi nyie mnajua adhabu ya uhaini??nyie mpeni kichwa tu uyo zitto mtamponza.
Jamani wana jamvi samahani kwa kuuliza, kwanini Zitto amekuja na suala hili la kumpigia kura ya kutokuwa na imani na PM?. Pinda amefanya nini kibaya?.
Jamani wana jamvi samahani kwa kuuliza, kwanini Zitto amekuja na suala hili la kumpigia kura ya kutokuwa na imani na PM?. Pinda amefanya nini kibaya?.
wadau wa jf tunahitaji kufaha idadi wa wabunge tu nje ya cdm watakaomuunga mkono mh zito ili hoja yake iweze kupita na kumpumzisha mtoto wa mkulima aliyetekwa na kuponzwa na maf.sa.i
1-49 chadema
50. Mbunge wa ludewa
51 mrema
52 cheyo
53. Kafulila
54.mkosamali
55.zambi
56
57
58
59
60
61
62
63
64
65
66
67
68
69
70.
Kulindana kunalimaliza taifa! Yaani nchi itakwisha sisi tunalindana! Kweli sisi ni watu au wanyama?
Watanzania waliwakataa magamba lakini wakachakachua, walaumu watanzania kwa kushindwa kulinda kura, ila somo walilopata toka Arumeru lakulinda kura limewaingiaKupata kura 70 si kazi kwani kwa hesabu zet tayri kuna kura 48, kazi ipo kwenye kupata kura 22.
CCM hata wasipotoa kura hizi bado wabunge wengine wa upinzani (CUF,UDP, TLP na NCCR wanazidi idani hiyo. Sasa issue ni mkakati wa kuwashawishi hao kwani kambi ya Upinzani haina ushirikiano.
Cha msingi ni wananchi kuwashinikiza wabunge wao kupitia njia za mawasiliano zilizopo, na wapigakura wake wafuatilie kuona kama aliwasikiliza kwani watakaounga hoja hii Mkono tutawajua kwa majina.
Tatizo nilionalo mimi ni ile 51% ya kura kama hoja ikipitishwa. Hata hivyo wakulaumiwa ni watanzania, kwani wao ndio waliowachagua wabunge wengi wa CCM, na hili litakuwa ni fundisho tosha