Golfer2008
Member
- Mar 22, 2012
- 28
- 4
silinde fiikunjombe
wasisign lakini wajue wakirudi majimboni tunawapopoa na mawe
Zile kelele za wabunge wa CCM kwenye uchangiaji wa taarifa za kamati kumbe ulikuwa unafiki mkubwa baada ya mkakati mzito kusukwa juu ya namna ya kumwokoa mh Pinda kutompigia kura ya kutokuwa na imani naye.
Taarifa za kiintelijensia ambazo zimepatikana kutoka Dodoma zinaeleza kuwa wabunge wa chama tawala wanaona kuwa hilo litakuwa jambo la fedheha na hivo wanahaha kuitisha kikao cha kamati ya chama ya wabunge wa CCM ili kuweka mambo sawa. Hata hivyo taarifa za baadhi ya wabunge zinaonyesha kuwa Waziri mkuu Pinda amekuwa mpole na anafanyakazi kwa dhana ya bora liende ili muda wake uishe. Kwa vyovyote iwavyo bado mh Zito ameonyesha ukomavu na ataingia katika historia mpya na hili pamoja na kuwa litazimwa lakini ni kifo cha taratibu cha CCM kwani taarifa zaidi zinaonyesha kuwa wabunge wengi wa CCM wameamua kuwa liwalo na liwe na ikibidi watahama chama na ili kujijenga zaidi kisiasa hata wakihamia Chadema watakuwa wamejijenga kisiasa kwa kuibomoa na kuikosoa waziwazi Serikali kuitikia matakwa ya wananchi. Mfano hai ni Godrey Zambi.
My take: ngoja tusubiri tuone hata hivyo ni aibu kwa serikali na makubwa ni kesho kamati ya nishati na madini yote yataweza kumpindua kabisa Pinda mtoto wa mkulima
Mkuu mtoa mada hivi kwa hali iliyotokea leo pale mjengoni unadhani Filikunjombe na Zambi bado wapo CCM?
Huu pia ni mtihani kwa Wabunge wa CUF. Ili kufuta dhana ya kuwa wao ni CCM B inabidi waweke sahihi la sivyo hata wale wenye uchungu na nchi hii walio Pemba wataona hawana wabunge. Sidhani kama Wapemba wengi wanapenda hii ndoa yao na CCM