Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kufa ni kitendo ambacho hakuna atakayekikwepa.
Mara nyingi huwa tunalia ndugu zetu tunaowafahamu wamekata roho. Hatulii uchungu bali tunalia kwasababu marehemu anakuwa mtu ambaye unamfahamu au uliwahi kumuona. Na kinacholiza watu ni suala la mtu 'kutangulia' mbele za haki. Kwamba fulani anatangulia ananiacha mm huku duniani.
Ingekuwa kweli tuna uchungu baina yetu lazima tu tungekuwa tunashusha machozi kwa majonzi kila tunaposikia matangazo ya vifo kwenye redio ama televisheni.
Hatuependani kabisa . Tuache unafiki.
Mara nyingi huwa tunalia ndugu zetu tunaowafahamu wamekata roho. Hatulii uchungu bali tunalia kwasababu marehemu anakuwa mtu ambaye unamfahamu au uliwahi kumuona. Na kinacholiza watu ni suala la mtu 'kutangulia' mbele za haki. Kwamba fulani anatangulia ananiacha mm huku duniani.
Ingekuwa kweli tuna uchungu baina yetu lazima tu tungekuwa tunashusha machozi kwa majonzi kila tunaposikia matangazo ya vifo kwenye redio ama televisheni.
Hatuependani kabisa . Tuache unafiki.