Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tuache unafiki kama kweli sisi ni wacha Mungu na tunaamini Mungu yupo, basi tuache kuwafundisha watoto wetu Darwin's evolution, tufute hii Mada, kinyume na hapo ni unafiki tu na kukesha Kanisani na Msikitini hakumaanishi chochote kama haumuamini Mungu na uumbaji wake, ...