Dahafrazeril
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,500
- 2,055
Heshima Mkuu, SHIMBA YA BUYENZE .CHAWAPUTA leteni ushahidi hapa. Was Darwin right?
Ungeanzisha thread binafsi kuhusu hili swali uliloniuliza ingekaa poa sana, Nadhani tukilizungumzia hili swali lako humu hatutokuwa sahihi kwa mleta mada na hata kwa rules za humu jamvini.
Ulipotea sana ndugu, karibu tena Jamii Forums.