johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,541
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.
Spika alikuwa wapi?
Naibu Spika alikuwa wapi?
KUB alikuwa wapi?
Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?
Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Spika alikuwa wapi?
Naibu Spika alikuwa wapi?
KUB alikuwa wapi?
Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?
Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!