Kama kweli Serikali ya Magufuli ilikopa fedha nyingi nje ya Utaratibu, Bunge letu lilikuwa wapi wakati huo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,541
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
 
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Lilikuwepo ila lilikuwa dhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kangi Lugola alitumbuliwa na Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
 
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Magufuli bunge lote aliliweka mfukoni
 
Kangi Lugola alitumbuliwa na Magufuli kwa kosa la kuingilia kazi ya waziri wa fedha Dk Mpango kwenda kukopa nje.

Kwenye serikali ya awamu ya tano aliyekuwa anaruhusiwa kukopa kwa niaba ya nchi ni waziri wa fedha tu.

Kwa hiyo huo uongo wa kina Nape hauna mashiko na uzuri Dk Mpango bado yupo
Wai Chato katambikwe dada
 
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Bunge la kijani, alinunua wabunge 90% wa upinzani ili wamuunge mkono.
 
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Waondoe CHADEMA kwenye huo upuruzi wenu. Mliwmbiwa bungeni na hata hapa mliambiwa mkaja na majibu mepesi kwamba Tanzania ni Dona Kantiri.
 
Nauliza tu iwapo hizi tuhuma kwamba hayati Magufuli alokopa fedha nyingi na zikatumika nje ya utaratibu ni kweli, bunge letu lilikuwa wapi wakati huo.

Spika alikuwa wapi?

Naibu Spika alikuwa wapi?

KUB alikuwa wapi?

Mwenyekiti wa PAC kutoka Chadema alikuwa wapi?

Jamani tusilete siasa za kuchamba kwingi tutanuka!
Unajaribu kubalance kwa kumweka KUB NA MWENYEKITI wa PAC kwenye uozo wa awamu ya tano? Usitudanganye kwamba ulisafiri wakati huo wote wa nchi yetu kuwa dona kantree mpaka kuingia uchumi wa kati?! Kama Wewe ni marehemu , ulikufa March 17, na si nyuma ya hapo, Kwa hiyo vuta kamasi, kisha ulimeze, consiparacy ya kukommiti tororisti mkubwa Wewe!
 
Bungeni kumekucha... Wanajadili hili suala mda huu. Wako live
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom