Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,919
- 3,047
Ukweli ni kwamba kabla ya awamu ya tano haijaingia madarakani, ajira za walimu na watumishi wa afya zilikuwa ni za kila mwaka, na kama sikosei, wahitimu wote walikuwa wanapata ajira.
Baada tu ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani, kumekuwa hakuna ajira za uhakika kwa wahitimu wote wa kada hizi(na zingine), kwa visingizio vingi, vya kwanza vilikuwa ni "UHAKIKI WA WATUMISHI' na kingine ni " KUJENGA UCHUMI KWANZA(2016)".
Ukweli uhakiki ukaisha na uchumi ukaimarika na sasa tupo kwenye "UCHUMI WA KATI".
Swali la msingi ni je, kwa nini sasa Serikali hii iliyo imara kiuchumi kuliko serikali zilizopita inasuasua kutoa ajira za walimu na watumishi wa afya?
Baada tu ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani, kumekuwa hakuna ajira za uhakika kwa wahitimu wote wa kada hizi(na zingine), kwa visingizio vingi, vya kwanza vilikuwa ni "UHAKIKI WA WATUMISHI' na kingine ni " KUJENGA UCHUMI KWANZA(2016)".
Ukweli uhakiki ukaisha na uchumi ukaimarika na sasa tupo kwenye "UCHUMI WA KATI".
Swali la msingi ni je, kwa nini sasa Serikali hii iliyo imara kiuchumi kuliko serikali zilizopita inasuasua kutoa ajira za walimu na watumishi wa afya?