Kama kweli Serikali hii inatengeneza pato kubwa kuliko Serikali zilizopita, mbona haitoi ajira za walimu na watumishi wa afya kama serikali zilizopita

Umeelewa maana ya "na jamii kama hizo"

Wahadzabe nimetumia mfano tu ila jamii zote za wafungaji Africa bado ziko kwenye mizizi kama option ya kwanza.

Huwezi kuwaweka kundi moja na hao wanaoenda kwa Physician hata wakipata mafua tu.
Mada inahusu Tanzania au Afrika?
Unaifahamu nchi ndogo ya Swaziland?Wewe unadhani dunia ya Leo unaamini miti shamba.Anyway,kwa hiyo Tanzania inatumia miti shamba sana ndio maana haina focus ya kuajiri watumishi wa afya!
 
Na ndio kwanza michango ya ujenzi wa madarasa na vyoo mashuleni imeanza kwa kasi.!
Tuendelee kupiga nyungu
#mitanotena
 
Mada inahusu Tanzania au Afrika?
Unaifahamu nchi ndogo ya Swaziland?Wewe unadhani dunia ya Leo unaamini miti shamba.Anyway,kwa hiyo Tanzania inatumia miti shamba sana ndio maana haina focus ya kuajiri watumishi wa afya!
Mimi nimekuambia Doctor-Population ratio ya WHO kuwa uniform dunia nzima ni siasa.

Hayo mengine ni yako mwenyewe tu
 
Upumbavu ni mbaya kuliko ujinga.
Hebu taja prevetive measures zinazotumika ili kujikinga na magonjwa kama kisukari,BP na cancer?Unadhani kwa akili yako kila ugonjwa unaweza kuzuiwa?
We ni amature sina muda wa kubishana na wewe..kwa ujingawako hujui kama kisukari ni moja kati ya magonjwa preventable..?rudi shule ndio uje ku argue na mimi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuajiri watumishi siyo fashion bali kinachoamua ni uhitaji

Kama JK aliajiri wahitimu wote kila mwaka unategemea uhitaji utakuwa vilevile milele.

Huyu anajazia nafasi za waliostaafu,kufariki na waliofukuzwa kazi tu.
Kamsikilize Magu siku anazindua Mloganzila.

............"alisema, tuna uhaba wa watumishi wa Afya 90,0000 lakini tumetoa kibali cha kuajiri watumishi 2,000 !!!!!!!

In short, tatizo la ajira Tanzania haliwagusi watawala wala watoto wao hivyo haliwaumizi.

Pesa za kuhonga wabunge wa upinzani, kurudia chaguzi feki au kuwatoa kina Msigwa Jela, Tsh milioni 38 na kununua korosho kw mihemko zipo. Hata pesa za uchaguzi hatukuchukua UNDP Kwasababu hatukutaka waangalizi wa nje wala NGOs kushiriki.

Anyway unajua hata pesa za kujilipa per diem na kuzurula kutwa kucha wanpiga kelele kwa misafara hazikosekani.

Ila pesa za kuajiri vijana au kulipa watumishi madai yao HAZIPATIKANI.
 
We ni amature sina muda wa kubishana na wewe..kwa ujingawako hujui kama kisukari ni moja kati ya magonjwa preventable..?rudi shule ndio uje ku argue na mimi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Unajifanya kujua kumbe hujui.
Unajua maana ya "PREVENTION" katika matibabu na kibaiolojia kwa ujumla?Ingia internet usome,"To what extent can diabetes mellitus be prevented",almost impossible.Kama magonjwa kama BP na kisukari yangekuwa na kinga ya moja kwa moja,matajiri na maofisa yasingewatesa,maana wangetumia hata chanjo, Kumbuka chanjo ni aina tu ya PREVENTION.
 
Kamsikilize Magu siku anazindua Mloganzila.

............"alisema, tuna uhaba wa watumishi wa Afya 90,0000 lakini tumetoa kibali cha kuajiri watumishi 2,000 !!!!!!!

In short, tatizo la ajira Tanzania haliwagusi watawala wala watoto wao hivyo haliwaumizi.

Pesa za kuhonga wabunge wa upinzani, kurudia chaguzi feki au kuwatoa kina Msigwa Jela, Tsh milioni 38 na kununua korosho kw mihemko zipo. Hata pesa za uchaguzi hatukuchukua UNDP Kwasababu hatukutaka waangalizi wa nje wala NGOs kushiriki.

Anyway unajua hata pesa za kujilipa per diem na kuzurula kutwa kucha wanpiga kelele kwa misafara hazikosekani.

Ila pesa za kuajiri vijana au kulipa watumishi madai yao HAZIPATIKANI.
Huo ni ukweli.
 
Ukweli ni kwamba kabla ya awamu ya tano haijaingia madarakani, ajira za walimu na watumishi wa afya zilikuwa ni za kila mwaka, na kama sikosei, wahitimu wote walikuwa wanapata ajira.

Baada tu ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani, kumekuwa hakuna ajira za uhakika kwa wahitimu wote wa kada hizi(na zingine), kwa visingizio vingi, vya kwanza vilikuwa ni "UHAKIKI WA WATUMISHI' na kingine ni " KUJENGA UCHUMI KWANZA(2016)".

Ukweli uhakiki ukaisha na uchumi ukaimarika na sasa tupo kwenye "UCHUMI WA KATI".

Swali la msingi ni je, kwa nini sasa Serikali hii iliyo imara kiuchumi kuliko serikali zilizopita inasuasua kutoa ajira za walimu na watumishi wa afya?
Kwa kutumia akilj yako unadhan ht hzo setikali za aeamu ya 4 zingekaa madarakani miaka 30 zingeendelea kutoa ajira kwa wingi?
 
Ukweli ni kwamba kabla ya awamu ya tano haijaingia madarakani, ajira za walimu na watumishi wa afya zilikuwa ni za kila mwaka, na kama sikosei, wahitimu wote walikuwa wanapata ajira.

Baada tu ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani, kumekuwa hakuna ajira za uhakika kwa wahitimu wote wa kada hizi(na zingine), kwa visingizio vingi, vya kwanza vilikuwa ni "UHAKIKI WA WATUMISHI' na kingine ni " KUJENGA UCHUMI KWANZA(2016)".

Ukweli uhakiki ukaisha na uchumi ukaimarika na sasa tupo kwenye "UCHUMI WA KATI".

Swali la msingi ni je, kwa nini sasa Serikali hii iliyo imara kiuchumi kuliko serikali zilizopita inasuasua kutoa ajira za walimu na watumishi wa afya?
Hivi kuna mpuuzi, anaamini kua serikali hii inakusanya kodi kuliko zilizopita?
Hapo kutakua na makosa mawili, la serikali, na la anayeamini UONGO wa serikali.
 
Kwa kutumia akilj yako unadhan ht hzo setikali za aeamu ya 4 zingekaa madarakani miaka 30 zingeendelea kutoa ajira kwa wingi?
Akili yako iko limited.Kwani miaka 30 iliyopita uhitaji wa watumishi wa afya na elimu ulikuwa mkubwa Kama wa Sasa?
Why can't you predict that the demand in 30yrs to come will be higher?Sijui unatumia kiungo gani kufikiri.!
 
Umeelewa maana ya "na jamii kama hizo"

Wahadzabe nimetumia mfano tu ila jamii zote za wafungaji Africa bado ziko kwenye mizizi kama option ya kwanza.

Huwezi kuwaweka kundi moja na hao wanaoenda kwa Physician hata wakipata mafua tu.
Hata mimi ni+CCM Ila siyo mjinga hivi.
 
Mkuu ajira za Ualimu hazijatoka juzi au ulikua Canada na ndiyo umerudi?
Enzi hizo hakuwepo mbwembwe na matangazo mengi kuwa serikali inaajiri bali watu walimaliza vyuo na kupangiwa ajira na zaidi Sana Kila mwaka walipata nyongeza ya mshahara.kwa uchumi uleule unaoonekana ulikuwa duni na makusanyo yake kidogo na watumishi hewa nao hawakupungukiwa !!!
 
Enzi hizo hakuwepo mbwembwe na matangazo mengi kuwa serikali inaajiri bali watu walimaliza vyuo na kupangiwa ajira na zaidi Sana Kila mwaka walipata nyongeza ya mshahara.kwa uchumi uleule unaoonekana ulikuwa duni na makusanyo yake kidogo na watumishi hewa nao hawakupungukiwa !!!
Bora umenisaidia mtanzania makini mwenzangu.Wengine wanadhani kuwa CCm ni kuwa mjinga na kufikiri kwa kutumia matumbo na mdomo.
 
Juz nilisikia mchambuzi akisema bara laAfrica limekumbwa na ugonjwa wa miundo mbinu na kuongeza kua kama halitoangaliwa vizur litaiweka Bara pabaya .sasa serikali hii imekua ikitaka sifa ionekane ina pesa na kusahau vitu muhimu. Ni aibu kubwa wanafunz mwaka huu wamekosa madarasa alafu mtu anapaza sauti et bombadia.



Hela zinaelekea kwenye miradi iliyoanzishwa kisifa sifa
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom