Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Leo ni wiki nne watumishi mbali mbali wa idara za serikali ikiwemo na ikulu hawajalipwa mishahara yao. Hii ni baada ya mvutano wa Rais Donald Trump anayetoka chama cha Republican na Spika Nancy Pelosi anayetoka chama cha Democratic.
Huko Uingereza napo mambo ni magumu kwa kipindi kirefu baada ya kura ya Uingereza kujitoa jumuia za ulaya kila siku Waziri mkuu Theresa May anakoswa koswa na kura ya kutokuwa na imani naye mpaka kupelekea nchi hiyo uchumi wake kuyumbayumba.
Natoa pongezi kubwa kwa taasisi zote hapa Tanzania haswa Spika wa Bunge Job Ndugai kwa kumuunga mkono Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye uchumi imara. Hawa wabunge wachache wanaowakilisha maslahi zao binafsi waendelee kudhibitiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Uingereza napo mambo ni magumu kwa kipindi kirefu baada ya kura ya Uingereza kujitoa jumuia za ulaya kila siku Waziri mkuu Theresa May anakoswa koswa na kura ya kutokuwa na imani naye mpaka kupelekea nchi hiyo uchumi wake kuyumbayumba.
Natoa pongezi kubwa kwa taasisi zote hapa Tanzania haswa Spika wa Bunge Job Ndugai kwa kumuunga mkono Rais Magufuli katika kujenga taifa lenye uchumi imara. Hawa wabunge wachache wanaowakilisha maslahi zao binafsi waendelee kudhibitiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app