ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,359
- 2,273
world cup nchi kuhost. fifa awaangalii viwanja peke yakeNaomba serikalini iwekeze viwanja hata vya watazamaji 30,000 vipya mikoa ifuatayo
1. Mwanza
2. Arusha
3. Dodoma
4. Mbeya
5 Morogoro
Tukipata hivyo na vilivyopo Zanzibar na Dsm vinakuwa 8 ambavyo vina standards nzuri.
Hapo hata World Cup tunaomba