1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,252
- 7,930
Mama Samia ndiye Rais na Mwenyekiti wa CCM.
Apende asipende 2025 lazima agombee.
Tutaandamana na kumchukulia Fomu.
Utaratibu wa Chama Mwenyekiti ndiye anayekuwa Rais.
Na alikua makamu wa Rais akaimudu vizuri nafasi yake na sasa ni Rais mtenda haki na nchi inapumua.
Mama Samia anajiamini kupita maelezo. Akikwenda Kenya na kwenda moja kwa moja Hospitalini kumsalimia Tundu Lisu bila kuhofia wauaji ndani ya Chama na serikali yake wanasemaje!
Kwa sasa ndiye mkuu wa nchi.
Naamini Huyu Rais ndiye tuliyepewa na Mungu mana hakuna Mwanadamu aliyewaza kuwa ipo siku Samia angekua Rais . Ni Mungu pekee alijua kuwa atawaletea watanzania Mama mwenye huruma ili aliunganishe Taifa na kuondoa Dhulma.
Nchi imejaa dhulma. Mama ataisafisha nchi. Waliopita waliwaza fedha tu na kudhulumu wananchi kwa kukwapua Mali zote za Umma.
Yani watwala mabilionea ndio waliojiuzia nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. Hao hao ndio waliogoma kuwaongezea wafanyakazi madaraja na kutoa ajira. Leo mama Samia ameona dhulma na kero zinazogusa maisha ya watanzania walioishi kwa vitisho na kudhulumiwa na watawala waliobeba hulka za tawala katili za Kifirauni na kirumi za karne zilizorangulia.
Mama Samia Chapa kazi tuko nyuma yako. Mama Samia 2025 na akimaliza muda wake tutamuongezea tena mpaka 2050 Mungu akitaka iwe hivyo .
Mungu ametuletea Mama Mama mtu muungwana na mstarabu na mpenda haki bado tunatamani kuongozwa kishetani na kinyangau kama wanyama.
Watu waovu Mara nyingi wanapenda kutawaliwa kiovu ili wapate nafasi.
Vyeo vya kwenye mabaa na magest awamu hii vimeota mbawa. Mama anaweka watu waadilifu na wenye mapenzi mema kwa Taifa sio watu wabinafsi wanaokwapua Mali za Umma ili wakalale kwenye mabaa na magesti wakati hospitalini hakuna dawa.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Apende asipende 2025 lazima agombee.
Tutaandamana na kumchukulia Fomu.
Utaratibu wa Chama Mwenyekiti ndiye anayekuwa Rais.
Na alikua makamu wa Rais akaimudu vizuri nafasi yake na sasa ni Rais mtenda haki na nchi inapumua.
Mama Samia anajiamini kupita maelezo. Akikwenda Kenya na kwenda moja kwa moja Hospitalini kumsalimia Tundu Lisu bila kuhofia wauaji ndani ya Chama na serikali yake wanasemaje!
Kwa sasa ndiye mkuu wa nchi.
Naamini Huyu Rais ndiye tuliyepewa na Mungu mana hakuna Mwanadamu aliyewaza kuwa ipo siku Samia angekua Rais . Ni Mungu pekee alijua kuwa atawaletea watanzania Mama mwenye huruma ili aliunganishe Taifa na kuondoa Dhulma.
Nchi imejaa dhulma. Mama ataisafisha nchi. Waliopita waliwaza fedha tu na kudhulumu wananchi kwa kukwapua Mali zote za Umma.
Yani watwala mabilionea ndio waliojiuzia nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. Hao hao ndio waliogoma kuwaongezea wafanyakazi madaraja na kutoa ajira. Leo mama Samia ameona dhulma na kero zinazogusa maisha ya watanzania walioishi kwa vitisho na kudhulumiwa na watawala waliobeba hulka za tawala katili za Kifirauni na kirumi za karne zilizorangulia.
Mama Samia Chapa kazi tuko nyuma yako. Mama Samia 2025 na akimaliza muda wake tutamuongezea tena mpaka 2050 Mungu akitaka iwe hivyo .
Mungu ametuletea Mama Mama mtu muungwana na mstarabu na mpenda haki bado tunatamani kuongozwa kishetani na kinyangau kama wanyama.
Watu waovu Mara nyingi wanapenda kutawaliwa kiovu ili wapate nafasi.
Vyeo vya kwenye mabaa na magest awamu hii vimeota mbawa. Mama anaweka watu waadilifu na wenye mapenzi mema kwa Taifa sio watu wabinafsi wanaokwapua Mali za Umma ili wakalale kwenye mabaa na magesti wakati hospitalini hakuna dawa.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app