Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,316
- 8,227
Hicho ndicho kilichonijia kichwani leo nikiwa natafakari mwenendo wa siasa za Tanzania kwa sasa.
Maswali ni je nani atakubali kusimama na ni nani atakubali mwenzake kusimama.
Itakua nipatashika nguo kuchanika ndani ya vyama na nje ya vyama.
Maswali ni je nani atakubali kusimama na ni nani atakubali mwenzake kusimama.
Itakua nipatashika nguo kuchanika ndani ya vyama na nje ya vyama.