Kama Kweli hawa wote ni Wabaya, Je hii ni Nchi ya Watu wa Aina gani?

Thinktz01

JF-Expert Member
Feb 24, 2014
271
129
Nimesikia majina ya Mawaziri Wa Fedha, na Wanasheria Wakuu wakitajwa kama wahusika wa Mikataba mibovu, tena Kwa tuhuma za Rushwa.

Najiuliza, hawa wanaweza Ku saini Mikataba mikubwa hivi, na Kupitisha Sheria hizi Bungeni bila Speaker na Raisi kuridhia? Je Serikali za awamu ya 3 na 4 zote zilikuwa za Kifisadi?

Je Sasa ndo tumempata Malaika? Au ndo CCM mpya? Au ndo ule utatu wa Sita (marehemu), Mwakiembe na JPM ndo umepata nafasi?

Au je CCM, ndo imekuja na mbinu mpya ya kujivua Gamba, baada ya kushindwa?

Au ni muendelezo wa tuhuma zisizo zakitafiti kama zile za Madawa ya kulevya?

Kama kweli, wa Tanzania wote hawa ni Wabaya, je hii ni Nchi ya Watu wa Aina gani?
 
Nimesikia majina ya Mawaziri Wa Fedha, na Wanasheria Wakuu wakitajwa kama wahusika wa Mikataba mibovu, tena Kwa tuhuma za Rushwa.

Najiuliza, hawa wanaweza Ku saini Mikataba mikubwa hivi, na Kupitisha Sheria hizi Bungeni bila Speaker na Raisi kuridhia? Je Serikali za awamu ya 3 na 4 zote zilikuwa za Kifisadi?

Je Sasa ndo tumempata Malaika? Au ndo CCM mpya? Au ndo ule utatu wa Sita (marehemu), Mwakiembe na JPM ndo umepata nafasi?

Au je CCM, ndo imekuja na mbinu mpya ya kujivua Gamba, baada ya kushindwa?

Au ni muendelezo wa tuhuma zisizo zakitafiti kama zile za Madawa ya kulevya?

Kama kweli, wa Tanzania wote hawa ni Wabaya, je hii ni Nchi ya Watu wa Aina gani?
Mnajaza server ya Jamii Forum buree, kalale!
 
Mikataba yote hupitishwa na Baraza la Mawaziri,yaani mawaziri hufanya kikao chini ya uenyekiti wa Rais,na kwa sauti moja hukubaliana kupitisha mkataba, anayepinga hufukuzwa uwaziri kama nape alivyofukuzwa

Kwa hiyo hata wanaoshika na kushikana masharti sasa walikuwa sehemu ya kikao hicho
 
Kipenga kikipulizwa cha kufukua makaburi mnishtue na mimi nifukue la Loliondo lililopigwa na mzee wa ruksa kisha kuli "Bizi"kwa waarabu!! Tufukue yote tusiache hata moja!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom