masara
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,738
- 2,279
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Mimi naanza ya langu
Udhaifu ninaouona ni kila mbunge Wa CCM kusimama na kuisifia Serikali na kilanja mkuu wakati sio wajibu wao.
Natamani ifikie hatua Serikali iliogope Bunge kiasi kwamba wakiwa wanaleta hoja kupitia mawaziri basi waonekane wanabembeleza na sio kama sasa unakuta waziri hadi anajingamba mbele ya bunge kuwa ni lazima lipite hiyo unaonesha udhaifu maana ni Bunge ndio linaiamlia serikali na sio serikali inaliamlia bunge.
Yaani unakuta serikali inakosea wazi wazi lakini bado wabunge wanashabikia kuwa ni sawa.
Halafu udhaifu mwingine ni namna wanavyopitisha mambo Kwa mkumbo. Yaani Kwa kutamka kwa pamoja tu ..NDIOOOO.Ni bora wangekuwa wanapiga kura za siri tena wanazima hadi C.C.TV. ndio serikali igejitathimini kama wabunge Wa chama chake wanaiunga mkono serikali.
Kwa maana naamini kabisa kuna mambo ambayo Serikali inakosea na wabunge wanaona hili ila mda Wa kupiga kura ukifika mda Wa kupiga kura inabidi wote wakubali Kwa mkumbo na sio kiuhalisia.
Mimi nimejilipua na wewe fuatisha
Mimi naanza ya langu
Udhaifu ninaouona ni kila mbunge Wa CCM kusimama na kuisifia Serikali na kilanja mkuu wakati sio wajibu wao.
Natamani ifikie hatua Serikali iliogope Bunge kiasi kwamba wakiwa wanaleta hoja kupitia mawaziri basi waonekane wanabembeleza na sio kama sasa unakuta waziri hadi anajingamba mbele ya bunge kuwa ni lazima lipite hiyo unaonesha udhaifu maana ni Bunge ndio linaiamlia serikali na sio serikali inaliamlia bunge.
Yaani unakuta serikali inakosea wazi wazi lakini bado wabunge wanashabikia kuwa ni sawa.
Halafu udhaifu mwingine ni namna wanavyopitisha mambo Kwa mkumbo. Yaani Kwa kutamka kwa pamoja tu ..NDIOOOO.Ni bora wangekuwa wanapiga kura za siri tena wanazima hadi C.C.TV. ndio serikali igejitathimini kama wabunge Wa chama chake wanaiunga mkono serikali.
Kwa maana naamini kabisa kuna mambo ambayo Serikali inakosea na wabunge wanaona hili ila mda Wa kupiga kura ukifika mda Wa kupiga kura inabidi wote wakubali Kwa mkumbo na sio kiuhalisia.
Mimi nimejilipua na wewe fuatisha