Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Bado najiuliza Kama Kweli Babu Seya hakuwa ameonewa , Je Kwa nini Baada ya Mh Rais kutaja jina lake kwa nini Uwanjani kulijawa na Shangwe na Vifijooo telee.
Je kwa nini wale watoto waliotoa ushahidi wa Uongo wasijitokeze na Kuomba msamaha kwa kutenda dhambi na kuwasababishia Maswaibu makubwa Ndugu hawa.. Je aliyefanikisha hiyo scandal alikuwa ana lengo Gani?
Najiuliza kweli Akili Unazo!!!
Je kwa nini wale watoto waliotoa ushahidi wa Uongo wasijitokeze na Kuomba msamaha kwa kutenda dhambi na kuwasababishia Maswaibu makubwa Ndugu hawa.. Je aliyefanikisha hiyo scandal alikuwa ana lengo Gani?
Najiuliza kweli Akili Unazo!!!