Elections 2010 Kama Kweli 6 ni Chuma Cha Pua: Fanya Hili............................

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Nilishawahi kumsikia Bwana Sita akijitapa kuwa yeye ni Chuma Cha Pua. Alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio.

Sasa mafisadi wamemfanyizia.

Ninamuomba bwana Sita aoneshe uzalendo wake kwa Tanzania. Alichofanyiwa Sita na mafisadi ni usaliti mwingine kwa utawala wa mkwere kwa Watanzania. CCM na mafisadi wamedhihirisha tena ukweli kuwa wanadharau Watanzania kwani Watanzania kwa mamilioni walikuwa wanaomba kwa Mungu bwana Sita apewe nafasi nyingine ya kuliongoza bunge la nchi yetu. CCM (wasiozidi hata 100) wameweka watu wao. Watanzania wameachwa kwenye mataa. Wamedharauliwa. Kokoto (kauli ya Mkapa). Majuha (kauli ya Mkwere). Mabaamedi (kauli ya Makongolo Mahanga). Tumeachwa tukilia na kusaga meno.

Ninamuomba Sita ajitenge nao. Wabunge wote watiifu kwa Tanzania wajitenge na mafisadi. Wapige kura kuwakataa 'vibaraka wa mafisadi' waliopendekezwa kugombea nafasi adhimu ya Spika. Nchi hii haiwezi kubadilika bila watu 'wakubwa na wenye heshima' kama Sita kuthubutu.

Fanya hivyo Bwana Chuma Cha Pua. Sisi tutakuunga mkono.
 
Yeah this a good idea. Mheshimiwa sitta anza na wabunge wengine wataacha kuwachagua vibaraka wa mafisadi.
 
Hana ubavu wa kufanya hayo unayotaka,sio msafi kiasi hicho watammaliza atakufa vibaya,nahisi atapewa uwaziri wa mboga2 after 2yrs reshafle anatupwa nje
 
Kwa yeyote anaeweza kuwasiliana na sita ni vema akamshauri kuwatafuta wale woote wanaomkubali yeye kama sita ili wamuunge mkono mtu wa upinzani..hapo watatoka tu labda uchakachuzi uingie mpaka kwa wabunge wenyewe..mfano sita akipata watu 40 wanaomuunga mkono na chadema wakaunganisha na kafu basi ujue ccm hawatakua na chao labda njaa iwatenganishe..but ni bora wakakataa njaa ya siku moja wakashiba miaka.jamani hakuna asiejua 6 aliku mtu anaelifaa taifa hili lakini vita yake iko wazi ni kwamba ametolewa kwa chuki ya wadhambi..sasa mbunge unaelijua hili funguka akili kwa jina la yesu.
 
Kwa yeyote anaeweza kuwasiliana na sita ni vema akamshauri kuwatafuta wale woote wanaomkubali yeye kama sita ili wamuunge mkono mtu wa upinzani..hapo watatoka tu labda uchakachuzi uingie mpaka kwa wabunge wenyewe..mfano sita akipata watu 40 wanaomuunga mkono na chadema wakaunganisha na kafu basi ujue ccm hawatakua na chao labda njaa iwatenganishe..but ni bora wakakataa njaa ya siku moja wakashiba miaka.jamani hakuna asiejua 6 aliku mtu anaelifaa taifa hili lakini vita yake iko wazi ni kwamba ametolewa kwa chuki ya wadhambi..sasa mbunge unaelijua hili funguka akili kwa jina la yesu.

We hujui Kafu ni CCM B?
 
Alipata nafasi ya kutengeneza historia hakuitumia(richmond,kagoda etc)atajuta na ukurasa ndo umeshafungwa,mafisadi ni noma!!only pipoos pawaaaa!can do ,not 6
 
Sitta ameonewa we needed him he was a mana who could tale the nation to the next level, this is not acceptable, hayaeleweki wachungaji maaskofu mashehe hii nchi mtadaiwa kwa kutokuwa wakweli semeni tupone we are in traouble,
 
Nilishawahi kumsikia Bwana Sita akijitapa kuwa yeye ni Chuma Cha Pua. Alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio.

Sasa mafisadi wamemfanyizia.

Ninamuomba bwana Sita aoneshe uzalendo wake kwa Tanzania. Alichofanyiwa Sita na mafisadi ni usaliti mwingine kwa utawala wa mkwere kwa Watanzania. CCM na mafisadi wamedhihirisha tena ukweli kuwa wanadharau Watanzania kwani Watanzania kwa mamilioni walikuwa wanaomba kwa Mungu bwana Sita apewe nafasi nyingine ya kuliongoza bunge la nchi yetu. CCM (wasiozidi hata 100) wameweka watu wao. Watanzania wameachwa kwenye mataa. Wamedharauliwa. Kokoto (kauli ya Mkapa). Majuha (kauli ya Mkwere). Mabaamedi (kauli ya Makongolo Mahanga). Tumeachwa tukilia na kusaga meno.

Ninamuomba Sita ajitenge nao. Wabunge wote watiifu kwa Tanzania wajitenge na mafisadi. Wapige kura kuwakataa 'vibaraka wa mafisadi' waliopendekezwa kugombea nafasi adhimu ya Spika. Nchi hii haiwezi kubadilika bila watu 'wakubwa na wenye heshima' kama Sita kuthubutu.

Fanya hivyo Bwana Chuma Cha Pua. Sisi tutakuunga mkono.

Thubutu! Mkewe atamuacha wapi? Sasa hivi Mage ndo anambembeleza akubali yaishe ili naye afikiriwe uwaziri. Ndio shida ya familia nzima kutekwa pamoja. Don't carry all eggs in one basket ndiyo inamuumiza Sitta. Tubaki kusema 'Heri walio wanyofu wa moyo, maana ufalme wa mbinguni ni wao". Na kisha tumalizie, lama sabakitan. Yamekwisha.
 
Nilishawahi kumsikia Bwana Sita akijitapa kuwa yeye ni Chuma Cha Pua. Alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio.

Sasa mafisadi wamemfanyizia.

Ninamuomba bwana Sita aoneshe uzalendo wake kwa Tanzania. Alichofanyiwa Sita na mafisadi ni usaliti mwingine kwa utawala wa mkwere kwa Watanzania. CCM na mafisadi wamedhihirisha tena ukweli kuwa wanadharau Watanzania kwani Watanzania kwa mamilioni walikuwa wanaomba kwa Mungu bwana Sita apewe nafasi nyingine ya kuliongoza bunge la nchi yetu. CCM (wasiozidi hata 100) wameweka watu wao. Watanzania wameachwa kwenye mataa. Wamedharauliwa. Kokoto (kauli ya Mkapa). Majuha (kauli ya Mkwere). Mabaamedi (kauli ya Makongolo Mahanga). Tumeachwa tukilia na kusaga meno.

Ninamuomba Sita ajitenge nao. Wabunge wote watiifu kwa Tanzania wajitenge na mafisadi. Wapige kura kuwakataa 'vibaraka wa mafisadi' waliopendekezwa kugombea nafasi adhimu ya Spika. Nchi hii haiwezi kubadilika bila watu 'wakubwa na wenye heshima' kama Sita kuthubutu.

Fanya hivyo Bwana Chuma Cha Pua. Sisi tutakuunga mkono.

what goes around comes around. Sam Six alimfanyizia Eddo pale Dom 2008, sasa ile ya Eddo imemgonga yeye. Mimi nilimwambia hasichukue fomu hakusikia kwani Mkwere alimtumia tu wakati ule na kujitapa kuwa kuna baraka zote kutoka Ikulu; sasa je na ili lina baraka zozote kutoka Ikulu au kwa Mwnyekiti wa CCM? Bado Anna Makinda naye ajiandae kudondokea pua!
 
Kwa yeyote anaeweza kuwasiliana na sita ni vema akamshauri kuwatafuta wale woote wanaomkubali yeye kama sita ili wamuunge mkono mtu wa upinzani..hapo watatoka tu labda uchakachuzi uingie mpaka kwa wabunge wenyewe..mfano sita akipata watu 40 wanaomuunga mkono na chadema wakaunganisha na kafu basi ujue ccm hawatakua na chao labda njaa iwatenganishe..but ni bora wakakataa njaa ya siku moja wakashiba miaka.jamani hakuna asiejua 6 aliku mtu anaelifaa taifa hili lakini vita yake iko wazi ni kwamba ametolewa kwa chuki ya wadhambi..sasa mbunge unaelijua hili funguka akili kwa jina la yesu.

Hiyo kura ni ya siri au ya kuhoji mbunge mmoja mmoja? Maana mambo yanapoelekea kugumu, kura itakuwa ya kuhoji mbunge mmoja mmoja na hakuna Mbunge wa CCM atayepinga chaguo la chama.
 
what goes around comes around. Sam Six alimfanyizia Eddo pale Dom 2008, sasa ile ya Eddo imemgonga yeye. Mimi nilimwambia hasichukue fomu hakusikia kwani Mkwere alimtumia tu wakati ule na kujitapa kuwa kuna baraka zote kutoka Ikulu; sasa je na ili lina baraka zozote kutoka Ikulu au kwa Mwnyekiti wa CCM? Bado Anna Makinda naye ajiandae kudondokea pua!

Mkuu ulimshaurije bana-Hapo umetisha
 
Ukitaka kupona usifiche ugonjwa, Ni kweli naungana na mkuu kwamba kama kweli 6 ni chuma cha pua basi aungane na vyuma vingine vya pua toka upinzani na akina Mwakembe kuvunjilia mbali Maselule yaliyobaki CCM. Asikubali hata huo uwaziri wa Mboga ili kuonyesha alikuwa pale kwa ajili ya wa TZ
 
Hana ubavu wa kufanya hayo unayotaka,sio msafi kiasi hicho watammaliza atakufa vibaya,nahisi atapewa uwaziri wa mboga2 after 2yrs reshafle anatupwa nje

Nakubaliana na wewe mkuu. Sitta hana ubavu wa kusimama kinyume na hawa mafisadi waziwazi kwani wanajua mambo yake mabaya mengi sana, mojawapo likiwemo lile lililokwisha wekwa wazi na Dr. Slaa la ubadhirifu wa fedha za umma kwenye ujenzi wa ofisi ya Spika kule jimboni kwake n.k. Kwahiyo ujasiri huo hana kwa kweli.
 
6 kaza but tuwapige vita mafis-adimu, tupo nyuma yetu sijue Mungu kafanyaje tena, yaani WWK wa UWT wanabeba Mlingoti wa taifa
 
Speaker 6 was the best since Independence 1961

Wana CCM wengi huko Uraiani walimpenda sana huyu jamaa 6 sielewi ni kwani CC inakuwa na maamuzi tofauti na wananchi kabisa sasa nchi inaanza kuwa ya Ki dictatorial kabisa, Na huku ndiko kukiua CCM na mpaka sasa wao viongozi wa CCM bado wana haha na hii ni kuhakikisha hakuna mtu hata mmoja atake hakikisha KATIBA inaguswa maaana walijua huko waendako 6 angekubali KATIBA ibadirishe kabisa na ndipo mwisho wa MAFISADI ungefika sasa wanaanza pangua safu mmoja baada ya mmoja mpaka wafikie kikomo na kikomo chake CCM wao kwa wao wata chinjana mtaona subirini.


 
Sikudhani kama hata jf ni mazuzu hivi.mmesahau 6 ndo alimfukuza zitto,kumwaibisha dr.wakati wa epa kwa kukejeli hoja yake,je si 6 aliyepinga sera ya elimu bure hadharani? Ni yeye aliyemaliza richmond kihuni.ni yeye alihalalisha wabunge kupata posho mbili,ni yeye alikingia kifua serikali ilipokataa kutekeleza maazimio ya bunge,ni yeye alifuja fedha kujenga hekalu kwao na samani za kufuru,mamilioni aliyopoteza kesi ya mengi na malima,upumbavu mtupu takataka.kama alivyosema msoma raia.acha aliowalinda wamwadhibu.hafai,wala makinda hafai hapa marando ndo anafaa kwa waliopo
 
Sikudhani kama hata jf ni mazuzu hivi.mmesahau 6 ndo alimfukuza zitto,kumwaibisha dr.wakati wa epa kwa kukejeli hoja yake,je si 6 aliyepinga sera ya elimu bure hadharani? Ni yeye aliyemaliza richmond kihuni.ni yeye alihalalisha wabunge kupata posho mbili,ni yeye alikingia kifua serikali ilipokataa kutekeleza maazimio ya bunge,ni yeye alifuja fedha kujenga hekalu kwao na samani za kufuru,mamilioni aliyopoteza kesi ya mengi na malima,upumbavu mtupu takataka.kama alivyosema msoma raia.acha aliowalinda wamwadhibu.hafai,wala makinda hafai hapa marando ndo anafaa kwa waliopo

Mazuzu???

Duh!

Any way............

Wewe unataka nani agombee uspika kupitia CCM??
 
Nilishawahi kumsikia Bwana Sita akijitapa kuwa yeye ni Chuma Cha Pua. Alikuwa akihojiwa na kituo kimoja cha redio.

Sasa mafisadi wamemfanyizia.

Ninamuomba bwana Sita aoneshe uzalendo wake kwa Tanzania. Alichofanyiwa Sita na mafisadi ni usaliti mwingine kwa utawala wa mkwere kwa Watanzania. CCM na mafisadi wamedhihirisha tena ukweli kuwa wanadharau Watanzania kwani Watanzania kwa mamilioni walikuwa wanaomba kwa Mungu bwana Sita apewe nafasi nyingine ya kuliongoza bunge la nchi yetu. CCM (wasiozidi hata 100) wameweka watu wao. Watanzania wameachwa kwenye mataa. Wamedharauliwa. Kokoto (kauli ya Mkapa). Majuha (kauli ya Mkwere). Mabaamedi (kauli ya Makongolo Mahanga). Tumeachwa tukilia na kusaga meno.

Ninamuomba Sita ajitenge nao. Wabunge wote watiifu kwa Tanzania wajitenge na mafisadi. Wapige kura kuwakataa 'vibaraka wa mafisadi' waliopendekezwa kugombea nafasi adhimu ya Spika. Nchi hii haiwezi kubadilika bila watu 'wakubwa na wenye heshima' kama Sita kuthubutu.

Fanya hivyo Bwana Chuma Cha Pua. Sisi tutakuunga mkono.

Hayo majina yalilengwa kwa wanasiasa uchwara (kokoto) na wanasiasa wasio na adabu katika kampeni hususana wanaotoa lugha za matusi (majuha).
Neno la pili lilimlenga haswa Mgombea wa ubunge wa Chadema Temeke pamoja na wale waliokuwa wakimchochea na kumshabikia wakati akitoa matusi kwa Mhe JK.

JK hakuwaita watu wengine hivyo. Labda kama kuna watu wanaopenda kujiita hivyo kwa hiari yao.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom