Plato
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 420
- 94
Nimekwishakusema ccm hakuna mtu wa kuwa spika.labda kama mnasema kuwa kati ya vipofu yeye ana kengeza(the lesser evil?) na kama huyo ndo afadhali,wengine wakoje.kinyaa ni kule kumpamba kama mtu mwema.na je haiwezekani mpinzani kuwa spika? Kwa nn kufikiria makapi wakati cream ipoMazuzu???
Duh!
Any way............
Wewe unataka nani agombee uspika kupitia CCM??