Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,607
Mfumo mbovu sn tulionao
Mfumo mbovu sn tulionao
Jaji wa hovyo kabisa kuwahi kutokeaJaji hawajibiki kwa maamuzi yake yoyote kwa yeyote bali yule anayemteua, mwenye ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Jaji kapandishwa cheo kuelekea kutoka hukumu.
Jaji anasema anashawishika kuamini Adamoo alizunguka na kina Kingai na Mahita hadi Arusha, akipewa mishikaki na Mo Energy kama mlo.
Hiiiiii bagosha!
Jaji wa hovyo kabisa kuwahi kutokea
Hatari sn mkuuBila katiba mpya hawa wanawajibika kwa ule mhimili uliojichimbia zaidi
Sawa, si unapigwa mwingi? Shida wapiHuko siyo kufanya kazi bali kulipa fadhila
Sawa, si unapigwa mwingi? Shida wapi
Haki inatendeka. Tulieni. Maana hata kufungwa ni haki pia