muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,113
- 4,793
Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe
maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie
kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja
kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako
viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje
hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie
kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja
kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako
viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje
hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah