Kama kuna watu serious kwenye mikoa hii basi wanicheki.

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,762
8,834
Habari za Mwaka mpya? Bila shaka tunaendelea kupambana tu.

Nina Idea 1 hivi ila implementation yake inahitaji watu wawe mikoa kadhaa wa kadhaa ndo Idea inaweza fanya kazi.

Sasa basi kama uko mikoa tajwa hapa Chini basi unaweza nicheki then tukaona tunafanyaje.

Hao ninoa watafuta tutasaidiana nao kufanya kazi

1. Dar
2.Morogoro
3.Iringa
4.Mbeya
5.Mtwara
6.Dodoma
7.Tanga
8.Mwanza
9.Bukoba
10.Kigoma
11.Rukwa.

Kama kuna mkoa hujatajwa basi leewa kwa sasa haihitajiki. Ni mtu 1 kwa kila mkoa.

Angalizo.
Watu sirias make Wabongo wengi tunapenda tu matokea ila usiriasi hakuna.

1.Na ni Kazi ambayo itahitaji tu uwe na Office basi.

2. Baada ya hapo tutakutana kwa njia ya Whatsapp wote na Baadae my be physical Mungu akipenda.

Nicheki PM. Siriasi tu basi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za Mwaka mpya? Bila shaka tunaendelea kupambana tu.

Nina Idea 1 hivi ila implementation yake inahitaji watu wawe mikoa kadhaa wa kadhaa ndo Idea inaweza fanya kazi.

Sasa basi kama uko mikoa tajwa hapa Chini basi unaweza nicheki then tukaona tunafanyaje.

Hao ninoa watafuta tutasaidiana nao kufanya kazi

1. Dar
2.Morogoro
3.Iringa
4.Mbeya
5.Mtwara
6.Dodoma
7.Tanga
8.Mwanza
9.Bukoba
10.Kigoma
11.Rukwa.

Kama kuna mkoa hujatajwa basi leewa kwa sasa haihitajiki. Ni mtu 1 kwa kila mkoa.

Angalizo.
Watu sirias make Wabongo wengi tunapenda tu matokea ila usiriasi hakuna.

1.Na ni Kazi ambayo itahitaji tu uwe na Office basi.

2. Baada ya hapo tutakutana kwa njia ya Whatsapp wote na Baadae my be physical Mungu akipenda.

Nicheki PM. Siriasi tu basi.



Sent using Jamii Forums mobile app
ANAPIGWA MTU SOON HAPA!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani wewe mwenyewe mkoa uliopo unaoishi umekosa MTU sirias awe rafiki, ndugu, classmate, hats jirani?

OK: tusubiri simu za kutapeliwa hapa
 
Umeamua kuja wazi wazi kujidhihiri kuwa wewe ni tapeli

Weka kila kitu ni mchongo gani huo madogo waupime na waushughulikie kama kweli unalipa na sio kuleta porojo ukawarubuni huko pm
Habari za Mwaka mpya? Bila shaka tunaendelea kupambana tu.

Nina Idea 1 hivi ila implementation yake inahitaji watu wawe mikoa kadhaa wa kadhaa ndo Idea inaweza fanya kazi.

Sasa basi kama uko mikoa tajwa hapa Chini basi unaweza nicheki then tukaona tunafanyaje.

Hao ninoa watafuta tutasaidiana nao kufanya kazi

1. Dar
2.Morogoro
3.Iringa
4.Mbeya
5.Mtwara
6.Dodoma
7.Tanga
8.Mwanza
9.Bukoba
10.Kigoma
11.Rukwa.

Kama kuna mkoa hujatajwa basi leewa kwa sasa haihitajiki. Ni mtu 1 kwa kila mkoa.

Angalizo.
Watu sirias make Wabongo wengi tunapenda tu matokea ila usiriasi hakuna.

1.Na ni Kazi ambayo itahitaji tu uwe na Office basi.

2. Baada ya hapo tutakutana kwa njia ya Whatsapp wote na Baadae my be physical Mungu akipenda.

Nicheki PM. Siriasi tu basi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeamua kuja wazi wazi kujidhihiri kuwa wewe ni tapeli

Weka kila kitu ni mchongo gani huo madogo waupime na waushughulikie kama kweli unalipa na sio kuleta porojo ukawarubuni huko pm
Unataka kusema jamaa ni Tapeli aliye kubuhu
 
Njaanuary hii imeanza vibaya kuweni makini

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom