CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Habari za Mwaka mpya? Bila shaka tunaendelea kupambana tu.
Nina Idea 1 hivi ila implementation yake inahitaji watu wawe mikoa kadhaa wa kadhaa ndo Idea inaweza fanya kazi.
Sasa basi kama uko mikoa tajwa hapa Chini basi unaweza nicheki then tukaona tunafanyaje.
Hao ninoa watafuta tutasaidiana nao kufanya kazi
1. Dar
2.Morogoro
3.Iringa
4.Mbeya
5.Mtwara
6.Dodoma
7.Tanga
8.Mwanza
9.Bukoba
10.Kigoma
11.Rukwa.
Kama kuna mkoa hujatajwa basi leewa kwa sasa haihitajiki. Ni mtu 1 kwa kila mkoa.
Angalizo.
Watu sirias make Wabongo wengi tunapenda tu matokea ila usiriasi hakuna.
1.Na ni Kazi ambayo itahitaji tu uwe na Office basi.
2. Baada ya hapo tutakutana kwa njia ya Whatsapp wote na Baadae my be physical Mungu akipenda.
Nicheki PM. Siriasi tu basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina Idea 1 hivi ila implementation yake inahitaji watu wawe mikoa kadhaa wa kadhaa ndo Idea inaweza fanya kazi.
Sasa basi kama uko mikoa tajwa hapa Chini basi unaweza nicheki then tukaona tunafanyaje.
Hao ninoa watafuta tutasaidiana nao kufanya kazi
1. Dar
2.Morogoro
3.Iringa
4.Mbeya
5.Mtwara
6.Dodoma
7.Tanga
8.Mwanza
9.Bukoba
10.Kigoma
11.Rukwa.
Kama kuna mkoa hujatajwa basi leewa kwa sasa haihitajiki. Ni mtu 1 kwa kila mkoa.
Angalizo.
Watu sirias make Wabongo wengi tunapenda tu matokea ila usiriasi hakuna.
1.Na ni Kazi ambayo itahitaji tu uwe na Office basi.
2. Baada ya hapo tutakutana kwa njia ya Whatsapp wote na Baadae my be physical Mungu akipenda.
Nicheki PM. Siriasi tu basi.
Sent using Jamii Forums mobile app