Ma mee
Member
- May 20, 2021
- 38
- 52
Mi nimwanafunzi wa mwaka wa pili wa udaktari
Nlikuwa naomba kama kunamtu yoyote anajua organisation au watu wanao fanya sponsorship au scholarship za masomo hapa Tanzania anisaidie...
Manaake adi imebidi ni postpone mwaka mzima kwasababu nimekosa ada.. please naomba usaidizi.
Nlikuwa naomba kama kunamtu yoyote anajua organisation au watu wanao fanya sponsorship au scholarship za masomo hapa Tanzania anisaidie...
Manaake adi imebidi ni postpone mwaka mzima kwasababu nimekosa ada.. please naomba usaidizi.