Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Miezi kadhaa iliyopita serikali iliamua kuongeza kodi maradufu (kama si zaidi) kwenye mabango ya matangazo (billboards na hata kwenye magari).
Aliefikiri hivyo obviously hajui the first thing about business management. HAKUNA mfanyabiashara HATA MMOJA atakayelipa shilingi moja kama haimpi return inayozidi shilingi moja.
Advertising costs itabebwa tu na mfanyabiashara kama manufaa yake yatazidi alicholipa. Sasa serikali ya Rais Magufuli imepandisha mara kadhaa ushuru wa mabango; nini kimetokea?
Wafanyabiashara wameondoa mabango yao which means hata hicho kilichokuwa kinalipwa mwanzoni kabla ya "uduwanzi" wa kupandisha ushuru hakilipwi tena.
Kwa manufaa yenu waimba mapambio; naomba msisadiki maneno yangu bila ya kufanya uchunguzi ufuatao:
Hebu angalia magari unayokutana nayo barabarani, ni mangapi yenye mabango sasa hivi?
Aliefikiri hivyo obviously hajui the first thing about business management. HAKUNA mfanyabiashara HATA MMOJA atakayelipa shilingi moja kama haimpi return inayozidi shilingi moja.
Advertising costs itabebwa tu na mfanyabiashara kama manufaa yake yatazidi alicholipa. Sasa serikali ya Rais Magufuli imepandisha mara kadhaa ushuru wa mabango; nini kimetokea?
Wafanyabiashara wameondoa mabango yao which means hata hicho kilichokuwa kinalipwa mwanzoni kabla ya "uduwanzi" wa kupandisha ushuru hakilipwi tena.
Kwa manufaa yenu waimba mapambio; naomba msisadiki maneno yangu bila ya kufanya uchunguzi ufuatao:
Hebu angalia magari unayokutana nayo barabarani, ni mangapi yenye mabango sasa hivi?