paul kitereja
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 260
- 45
mimi ni mwanafunzi wa first year mzumbe nilikosa mkopo,,je nauliza naweza nikapata mkopo second year kama nikiomba??mwenye kufahamu naomba anijuze!! ahsanteni!!
Everything is possible, Kuna utaratibu wa kuomba kwa wale walio kwisha kuomba na kukosa just tembelea mtandao wa HESLB kuna jins ya kuomba.mimi ni mwanafunzi wa first year mzumbe nilikosa mkopo,,je nauliza naweza nikapata mkopo second year kama nikiomba??mwenye kufahamu naomba anijuze!! ahsanteni!!