Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,200
- 3,008
Kuna kitu nakiona binafsi naumia Sana, yaani watu hasa CCM na vyama shikizi wanatumia sakata la Covid-19 ili kumdhiahaki Mbowe na kimdharirisha. Sasa Kama Kuna mwanasiasa yeyote Tanzania ambaye amapitia haya Basi amnyooshee Mbowe kidole, lakini Kama wewe ni keyboard worriors ata mahabusu hujawai kulala. Funga Domo lako
- Mbowe alitumia muda mwingi kutafuta vijana vyuoni, kuwasaidia Kampeini, kifedha na kweli baadhi ya hao vijana walipata madaraka na umaarufu kupitia Chadema ya Mbowe, mtu Kama Nassari, Mdee, Nusrat,Zitto, Mashinji,Lijualikali etc wote Mbowe aliwashika mkono Ila mwishoni walimsaliti.lakini hakukata tamaa.
-Mbowe alifilisiwa Mali, Account zake zikafungwa, Mashamba yake yakafyekwa, Billicanas ikavunjwa, Gazeti lake likafungwa, hotel zake zilikuwa zinatizwa Kodi Kali lakini bado Mbowe hakukata tamaa.
-wabunge wa chama chake wakanunuliwa kina Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, etc katibu mkuu wake Mashinji akanunuliwa, lakini Mbowe hakukata tamaa.
-Mbowe alipewa kesi ngumu ya Ugaidi, amesota jera miezi nane, hakuwapigia magoti watawala Hadi wakamuachia kwa aibu kubwa. Hakuna ata mtanzania ATA mmoja aliyeandamana ata kushinikiza Mbowe aachiwe, wote waliufyata wa kuwa na keyboard worriors. Na kuchafua madaraja na Vibao kuwa Mbowe sio gaidi.
Mbowe ni tajiri, hategemei siasa ili mkono uende kinywani. Lakini bado amepambana na kupigania haki na Katiba mpya, Hadi watawala wanabuni mbinu za kijinasua na movement za katiba zilizoanzishwa na Mbowe, ndo maana mnaona vikosi kazi vya Mchongo
Narudia Kama Kuna Mwanasiasa hapa Tanzania amepitia madhira na misukosuko ya kisiasa aliyopitia Mbowe mtajeni na Mnyooshe Mbowe kidole.
Ila Kama Ni keyboard worriors shut up and keep quiet.
- Mbowe alitumia muda mwingi kutafuta vijana vyuoni, kuwasaidia Kampeini, kifedha na kweli baadhi ya hao vijana walipata madaraka na umaarufu kupitia Chadema ya Mbowe, mtu Kama Nassari, Mdee, Nusrat,Zitto, Mashinji,Lijualikali etc wote Mbowe aliwashika mkono Ila mwishoni walimsaliti.lakini hakukata tamaa.
-Mbowe alifilisiwa Mali, Account zake zikafungwa, Mashamba yake yakafyekwa, Billicanas ikavunjwa, Gazeti lake likafungwa, hotel zake zilikuwa zinatizwa Kodi Kali lakini bado Mbowe hakukata tamaa.
-wabunge wa chama chake wakanunuliwa kina Silinde, Lijualikali, Mollel, Waitara, etc katibu mkuu wake Mashinji akanunuliwa, lakini Mbowe hakukata tamaa.
-Mbowe alipewa kesi ngumu ya Ugaidi, amesota jera miezi nane, hakuwapigia magoti watawala Hadi wakamuachia kwa aibu kubwa. Hakuna ata mtanzania ATA mmoja aliyeandamana ata kushinikiza Mbowe aachiwe, wote waliufyata wa kuwa na keyboard worriors. Na kuchafua madaraja na Vibao kuwa Mbowe sio gaidi.
Mbowe ni tajiri, hategemei siasa ili mkono uende kinywani. Lakini bado amepambana na kupigania haki na Katiba mpya, Hadi watawala wanabuni mbinu za kijinasua na movement za katiba zilizoanzishwa na Mbowe, ndo maana mnaona vikosi kazi vya Mchongo
Narudia Kama Kuna Mwanasiasa hapa Tanzania amepitia madhira na misukosuko ya kisiasa aliyopitia Mbowe mtajeni na Mnyooshe Mbowe kidole.
Ila Kama Ni keyboard worriors shut up and keep quiet.