KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Katika mfulurizo wa ghasia zinazotokea Zanzibar na kusababisha uharibifu wa mali nimoja ya tatizo linaloitia doa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hasa ukiangalia kwamakini unakuja kugundua siyo vurugu za kisiasa bali ni zakidini kwa mgongo wa siasa!!
Lakini hawandugu zetu wazanzibar wanajidanganya padogo sana kwakudhani kufanya hivyo nikumaliza tatizo!!
Nawalio wengi wanaojiingiza katika vurugu hizi wengi wao uelewa wao ni mdogo kwani wale wote wenye uelewa hawajiingizi katika huu upuuzi!!Nawalio wengi wanajidanganya kuwa zanzibar ikijitenga itakuwa kama DUBAI kitu ambacho siyo nawengine wanathubutu kusema lazima zanzibar iwe nchi yenye kufuata misingi ya sharia nasema ni uelewa mdogo wa wazanzibar wanaoleta vurugu tunaomba serikali iwadhibiti na ilitazame kwa jicho latatu!
Lakini hawandugu zetu wazanzibar wanajidanganya padogo sana kwakudhani kufanya hivyo nikumaliza tatizo!!
Nawalio wengi wanaojiingiza katika vurugu hizi wengi wao uelewa wao ni mdogo kwani wale wote wenye uelewa hawajiingizi katika huu upuuzi!!Nawalio wengi wanajidanganya kuwa zanzibar ikijitenga itakuwa kama DUBAI kitu ambacho siyo nawengine wanathubutu kusema lazima zanzibar iwe nchi yenye kufuata misingi ya sharia nasema ni uelewa mdogo wa wazanzibar wanaoleta vurugu tunaomba serikali iwadhibiti na ilitazame kwa jicho latatu!