Uchaguzi 2020 Kama kuna chombo cha habari kinachoandika habari za Lissu, naomba nitajieni

blogger

JF-Expert Member
Mar 13, 2012
10,434
12,589
Na pia nisaidieni kufahamu ni nani kazuia Lissu kutosemwa popote!?

Nimefuatilia magazeti kote kimya. BBC wakianza report habari zake sauti inakuwa muted.

Hii ni hatari kubwa.
 
Mlipofukuza TBC1 wengine wakajitafakari.

wapishane na TCRA au wawafurahishe CHADEMA.
 
Za nini kuonesha makovu ndio iwe habari .nani hajui
Hujui hata maana ya habar wewe? Habbari? Unafikir raisi kuwatoa watu wamimine risasi zote zile kwa raiya asiye hata na manati mkononi site HABARI? Au unadhan habari ni KUPORA KOROSHO ZA WAKULIMA TU?
 
Katika ulimwengu wa roho, kila litajwapo jina BWANA YESU KRISTO, Ibilisi na malaika wengine waovu hutetemeka kwa hofu kuu. Katika ulimwengu wa mwili napo kuna mambo kama hayo pia, pale mwenye haki asimamapo na kuusema ukweli bayana, basi waovu hutetemeka kwa hofu na huinuka dhidi yake, ili kutaka kuzuia ukweli usipate kujulikana mbele ya umma.
 
Unashangaa kuzuiwa kwa vyombo vya habari visiandike habari za Lisu. Mimi nilishangaa ilipopigwa marufuku ya kumuombea alipokuwa mgonjwa. Sasa nimekuwa sugu sishangai chochote.
Na hakuna Mchungaji wala Askofu aliyekemea!! Leo wanakusanyana kuombea mtu mzima! Yesu angerudi leo akakuta haya, sijui ingekuwaje!
 
Chadema ndio kinafukuza vyombo vya habari. Mfano mwenyekiti wa chadema taifa aliwafukuza TBC live tunasikia.
 
Wala usishangae, kama ni mfuatiliaji wa mambo utaelewa kipi kipo nyuma ya pazia Wala si jambo la kuniuliza mara mbili
 
Back
Top Bottom