Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,879
Viongozi wetu hebu Busara itumike kwenye hili la Chanjo badala ya Vitisho na Kauli za Ubabe.
Nakumbuka mlihubiri kwenye Mikutano yenu Kuwa Kuchanjwa ni hiari na Sio lazima kama Ndio hivyo kwanini Nguvu kubwa inatumika Kuwashambulia Wasiotaka kuchanjwa?
Wanaotaka chanjo wakachanje Wasiotaka waacheni Uamuzi wa Kulinda AFYA ni wa MTU mwenyewe
Nakumbuka mlihubiri kwenye Mikutano yenu Kuwa Kuchanjwa ni hiari na Sio lazima kama Ndio hivyo kwanini Nguvu kubwa inatumika Kuwashambulia Wasiotaka kuchanjwa?
Wanaotaka chanjo wakachanje Wasiotaka waacheni Uamuzi wa Kulinda AFYA ni wa MTU mwenyewe