Mh Ummy, nakuhakikishia Mungu yupo hilo lielewe kabisa.. Najua kama binadamu unafanya mambo ili kumfurahisha anayekupa ugali na tabasamu, ila tambua Mungu alisema, AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU na KUMFANYA KUWA KINGA YAKE.
Hivi tujiulize tu, hao watu wanaokufa na kuzikwa usiku wanakufa na ugonjwa gani??? Kama kweli Mkuu wa kaya na Ummy wangekua wanajali na ni watakatifu kiasi hiki cha kudhalilisha na kunyanyapaa ELIMU za watu walizosotea kwa miaka, KWANINI WASINGEKEMEA HADHARANI na kukutaza watu kuzikwa gizani? Kwanini WASINGETOKA HADHARARI WAKASEMA HAWA WATU WAMEKUFA KWA CORONA ila tutawazika kwa heshima?? Kwanini wao wanaficha kabisa Mambo yaliyoko wazi? na sasa wanamdhalilisha Msomi kisa vimetoka visa 480 ambavyo pia mambo yamefunikwa funikwa sana???? Kwanini hawa watu ni WAKATILI KIASI HIKI?? MUNGU TUNAKUOMBA HEBU TUSAIDIE HILI TAIFA NI LAKO.
Nirudi kweye Mada;
Kama Vilipimo vimeonyesha Fenesi lina Virusi, papai na Mbuzi, ambapo samples zilipelekwa kwa SIRI inamaana kuna shida kwenye Vipimo vyenyewe!! Huyu mtu angejua ni Fenesi labda hata angejiongeza kusema haiwezekani fenesi lisome + lakini maskini ya MUNGU hajui chochote anasoma kilichopo kwenye Mashine!!!!!! SASA KOSA LAKE NININI???? KWANINI ANAYESHUGHULIKA na MASWALA YA UBORA ambaye ni TBS asibebe hizi lawama kuruhusu bidhaa feki tena katika secta sensitive kama afya Ziingie NCHINI???.....Kwanini kila SIKU mambo yakienda vibaya lazima atafutwe MBUZI wa kafara??? Tena mara nyingi anatolewa ISAKA ambaya hana hatia yoyote???..MUNGU NAOMBA UFALME WAKO UJE TANZANIA MWAKA HUU KILA MTU AJUE UPO.......Naomba mwenye moja ya majibu ya mwaswali yangu anisaidie majibu.
Hivi tujiulize tu, hao watu wanaokufa na kuzikwa usiku wanakufa na ugonjwa gani??? Kama kweli Mkuu wa kaya na Ummy wangekua wanajali na ni watakatifu kiasi hiki cha kudhalilisha na kunyanyapaa ELIMU za watu walizosotea kwa miaka, KWANINI WASINGEKEMEA HADHARANI na kukutaza watu kuzikwa gizani? Kwanini WASINGETOKA HADHARARI WAKASEMA HAWA WATU WAMEKUFA KWA CORONA ila tutawazika kwa heshima?? Kwanini wao wanaficha kabisa Mambo yaliyoko wazi? na sasa wanamdhalilisha Msomi kisa vimetoka visa 480 ambavyo pia mambo yamefunikwa funikwa sana???? Kwanini hawa watu ni WAKATILI KIASI HIKI?? MUNGU TUNAKUOMBA HEBU TUSAIDIE HILI TAIFA NI LAKO.
Nirudi kweye Mada;
Kama Vilipimo vimeonyesha Fenesi lina Virusi, papai na Mbuzi, ambapo samples zilipelekwa kwa SIRI inamaana kuna shida kwenye Vipimo vyenyewe!! Huyu mtu angejua ni Fenesi labda hata angejiongeza kusema haiwezekani fenesi lisome + lakini maskini ya MUNGU hajui chochote anasoma kilichopo kwenye Mashine!!!!!! SASA KOSA LAKE NININI???? KWANINI ANAYESHUGHULIKA na MASWALA YA UBORA ambaye ni TBS asibebe hizi lawama kuruhusu bidhaa feki tena katika secta sensitive kama afya Ziingie NCHINI???.....Kwanini kila SIKU mambo yakienda vibaya lazima atafutwe MBUZI wa kafara??? Tena mara nyingi anatolewa ISAKA ambaya hana hatia yoyote???..MUNGU NAOMBA UFALME WAKO UJE TANZANIA MWAKA HUU KILA MTU AJUE UPO.......Naomba mwenye moja ya majibu ya mwaswali yangu anisaidie majibu.