Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,189
- 13,728
@Mzee Mwanakijiji is COMPROMSED and no longer TRUSTWORTHY!
Sijaelewa Mkuu,hebu andika kwa Kiswahili naona hiyo lugha umejaribu kuandika lakini ni kama hueleweki zaidi.
@Mzee Mwanakijiji is COMPROMSED and no longer TRUSTWORTHY!
Mzee Mwanakijiji keshaingia makubaliano na upande fulani (compromised, samahani kwa spelling error)!Sijaelewa Mkuu,hebu andika kwa Kiswahili naona hiyo lugha umejaribu kuandika lakini ni kama hueleweki zaidi.
Ukitaka kujua motive zao jaribu kufikiria waliposimamia, mama Samia anatuambia hata madini adimu ambayo mwenda zake aliyaangalia Kwa wivu wa kupindukia tuwaachie waje tu wachimbe, Ndugai anasema Kwa SGR wajichange wabunge walete hayo mabehewa, mchina tunaejua anavyofuonza damu aje tu ajenge Bagamoyo. Hapo mie naamini hawa ni majambazi walio na agenda zao Ila muda utaongea
acha kuwa inferior jadili issue na sio kufikirikaMzee Mwanakijiji keshaingia makubaliano na upande fulani (compromised, samahani kwa spelling error)!
Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakika haitoachwa ife.
MATAGA mmepatwa na kiwewe.expand...
Mzee Mwanakijiji keshaingia makubaliano na upande fulani (compromised, samahani kwa spelling error)!
Ndugai alipewa hela china, JPM alivyostopisha deal la bagamoyo wachina wakadai chao
Leo anashangaa eti kwa nini bagamoyo haijajengwa
MATAGA mmepatwa na kiwewe.
Pambio mfululizo niaka 5 limewalemaza kabisa, mmekuwa vibudu. Jiwe aliwashika vibaya sana.
Mambo ya brainwashing na cultifollowing.
Niseme tu CORONA BABA LAO. Mtu kazikwa na mavi yake
Natagas, The honeymoon is over.
... kabla hajawa compromised alikuwa anatoa hoja zilizopimwa kwa mizani, ... nafikiri, kwa utamaduni wa siasa za Bongo, hiyo ilikuwa kabla mzee Mwanakijiji mwenzie wa kwao HAJAUKWAA ULAJI!Ndiyo tatizo lenu nyinyi wenye mlengo tofauti,huwa mnataka kila mtu akubaliane na mitazamo yenu,haiko hivyo Mkuu,watu hubadirika na wala siyo jambo la ajabu,binafsi nilikuwa Pro CHADEMA enzi hizo za kina Zitto,Slaa na hapa JF ukifuatilia huko nyuma utaelewa. But kwa sasa kuwa na mtazamo tofauti na wa Upinzani siyo dhambi. Pengine nikuulize swali,wakati hajawa Comromised alikuwa na makubaliano na huo upande ulipo wewe?
... kabla hajawa compromised alikuwa anatoa hoja zilizopimwa kwa mizani, ... nafikiri, kwa utamaduni wa siasa za Bongo, hiyo ilikuwa kabla mzee Mwanakijiji mwenzie wa kwao HAJAUKWAA ULAJI!
Mpaka uwe ma akili kubwa ili umuelewe.Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
Jana ndiyo nimegundua JPM alikuwa mzalendo wa pekee Nchi hii. Ndugai kasahau hata ushindi wake wa Ubunge ni kwa sababu watu walimuamini Rais. Ndugai kaonyesha wazi kwamba yeye alihongwa na hao wachina wa Bandari kama spika ili awatetee. Ndugai kaniogopesha. Mdugai wa Juzi wanamuaga JPM alikuwa tofauti ma huyu wa jana. Usimwamini mtu.Ukitaka kujua motive zao jaribu kufikiria waliposimamia, mama Samia anatuambia hata madini adimu ambayo mwenda zake aliyaangalia Kwa wivu wa kupindukia tuwaachie waje tu wachimbe, Ndugai anasema Kwa SGR wajichange wabunge walete hayo mabehewa, mchina tunaejua anavyofuonza damu aje tu ajenge Bagamoyo. Hapo mie naamini hawa ni majambazi walio na agenda zao Ila muda utaongea
Umeongea fact sana hapa ,lawama lazima zimguse maana hata akina JK ziliwagusa wakatukaniwa hizo japo wasaidizi wao ndiyo waliokutwa na hatiaHivi alipodai nchi imepinda hivyo ni lazima aionyoshe, je yeye hakuwa moja katika walioipindisha? Mkapa hakuwa na mawaziri, yeye jiwe akiwa moja wao? Kikwete hakuwa na mawaziri, yeye jiwe akiwa moja wao?
Kwa nini ilipofika tuhuma za ufisadi katika uuzwaji wa nyumba za serikali uliosimamiwa na Waziri wa Mkapa, mwendazake John Pombe Magufuli, mlimtetea jiwe mkidai kwamba alikuwa ni mtekelezaji tu?
Kwa miaka zaidi ya ishirini, jiwe alikuwa waziri katika awamu zote mbili, na hata mara moja hakufikiria kujiuzulu kwa kutokubaliana na bosi wake. Lakini leo lawama zote mnataka watupiwe wasaidizi wake, kweli?
Kumbuka hakutaka ushauri wowote kutoka kwa yeyote, sasa atetewe kwa lipi?
Mbona mwepesi kusahau, Mungu keshatenda miujiza yake!
Tofautisha kati ya kupata hasara na kujiendesha kwa mkopo. Kilaza wewe!Soma report ya cag, kama hujui kusoma sema usaidiwe.
Soma vizuri kabla ya kujibu chochote hapo utakuwa umefaulu matumizi sahihi ya akili. Hakuna kitu kinachoitwa ukabila kimelengwa hapo na hakuna sehemu imezungumziwa watu wote (watu mahali) unaelewa maana yake? Wewe sio mimi na mimi sio wewe, mahali ambapo upo mimi sipo na kinyume chake kwahiyo acha kutoa majibu ya kibabaishaji....tafiti kwanzaMsiwagawe watanzania kwa sera zenu za ukabila.
Mimi niko kanda ya ziwa,mbona sijasikia hayo unayojaribu kudanganya mchana kweupe.
Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
Hivi unatumia nini hasa kufikiri?Ni kama kuna juhudi za makusudi za kumchafulia jina ilhali mwenyewe hayupo kujitetea!
Acha kutoa povu.JPM mwizi tu! Hayo mema kayafanya kwa pesa ya kutoka mfukoni mwake? Hivi nyie watu mbona wajinga namna hii? Kaifanyia mema nchi wakati huo huo kaiingiza nchi kwenye mizgo ya kipumbavu kama ile ya kununua ndege zinazoendelea kulitia hasara taifa? Isitoshe asilimia kubwa ya miradi Jiwe kaikuta, halafu mnataka kudanganya watu kwamba eti inatokana na "wema wa Jiwe"