Kama kilichoandikwa na The Guardian la leo ni kweli basi wauza Majeneza wa Dar watapata Super Profit

Kihepe mayai baby (chips mayai) watoto wa shule hawakauki kwenye vibanda vya chips basi kujimegea tuu.... Na vifo ndiko vinapotokea bila shaka
 
Duh..! Asavari wafe wengi ili tuuze majeneza kwa wingi,kama vipi nikiona Dar kunalipa zaidi ntakuja kufungua branch huko maana naona hapa Dom watu wagumu kufa kama nini..!
 
Kabla ya kufa mwili wote, hayo madume ya Dar yanaanza kufa dusherere. Yaani karaha tupu, tunalala nayo kama kaka zetu, shughuli kwa mbaaaali!
Wanaume Wa Dar hadi tembea Yao wanakera,
Mi yananikera pale yanapobinua midomo Yao utafikir sijui nini
 
The reasoning of stupid people who do not know the meaning of life... upo duniani kwa muda maalumu na kwa kazi maalum.. na ikitimia unaenda zako, whether ule mawe au misumari.. tunajisahau sana wakat mwingine mtu anajiona kama ataishi milele, kifo ni kile kile na machungu ya uhai kutoka ni yale yale. Whether unakufa leo, au utakufa miaka 10 kutoka sasa it doesnt make you any better..
 
Kama ndo hvyo basi ungekuta na huku mbeya hakuna watu maana kiepe bei ya kuteleeeza. Chps tumekula miaka na miaka itakuwa leo. Wasalimie rwanda huku viroba hakuna sasa hivi naona huko kwenu bado vipo ndo maana ukaja speed bila kutafakari
 
Kwa wingi wa hizi tafiti duniani zingekuwa zote zinatoa taswira halisi ya matatizo yaliyopo sidhani kama kuna ambaye angekuwa anapuma sahizi hapa.
 
Huna lolote unataka tu muuze gazeti na wala hatununui kama umeshindwa kuiweka hiyo habari hapa. Basiiii
 
The reasoning of stupid people who do not know the meaning of life... upo duniani kwa muda maalumu na kwa kazi maalum.. na ikitimia unaenda zako, whether ule mawe au misumari.. tunajisahau sana wakat mwingine mtu anajiona kama ataishi milele, kifo ni kile kile na machungu ya uhai kutoka ni yale yale. Whether unakufa leo, au utakufa miaka 10 kutoka sasa it doesnt make you any better..
Hapana.

Watu wanozingatia mlo mzuri wenye kuupa mwili wanga, protini, vitamini, mafuta (kwa kipimo maalum), hupunguza sana hatari yakupata magonjwa.

Your food your medicine and your medicine your food. (let your food be your medicine and your medicine your food)

Mimi si mkamilifu lakini najitahidi sana kuzingatia ulaji bora.

Haiishii hapa hatahivyo.

Workout zipi?

How many times you workout a week?

Man, huwezi ongea kwa urahisi tu hivi.

Nimeona mchangiaji hapo juu anasema wanafunzi wanafurika kwenye vibanda vya chips?

Je hatuwezi kufanya kitu?

Labda kubadili mentality ya watu?
Waone kuna uwiano kati ya furaha, amani na vile watu wanavyo kula?

Magonjwa yanayotokana na kula hovyo tatizo kubwa hili.
 
Huna lolote unataka tu muuze gazeti na wala hatununui kama umeshindwa kuiweka hiyo habari hapa. Basiiii

Hata hivyo Copy zote 43,713 tulizotoa leo zimeisha mapema tu ya Saa 3 na dakika 3 hadi kuvunja kabisa rekodi. Watanzania wanaogopa sana Kufa hivyo wengi wao wamewahi kulinunua hilo Gazeti la The Guardian la leo.
 
Hata hivyo Copy zote 43,713 tulizotoa leo zimeisha mapema tu ya Saa 3 na dakika 3 hadi kuvunja kabisa rekodi. Watanzania wanaogopa sana Kufa hivyo wengi wao wamewahi kulinunua hilo Gazeti la The Guardian la leo.
Lengo lenu limetimia kwa kiasi fulani
 
Back
Top Bottom