Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
CCM kupitia kwa Umoja wa Vijana wa CCM Babamoyo (UVCCM) Ilitoa tamko ambalo pamoja na Mambe mengi lilikuwa na Kauli mbili nzito zifuatazo
1. Kamwe Rias 2015 Hatotoka Kaskazini.
2. Anayemjua Rais 2015 ni Jakaya kikwete
Kauli hii ya Kibaguzi dhidi ya Watu wa Kanda ya Kaskazini Ilipita bila kutolewa kwa Kauli ya Kupingwa kutoka kwa Viongozi wa CCM hali inayoashiria kwamba Kauli hii ilikuwa na Baraka za Wakubwa wa CCM na Watu wa Kaskazini "Mlie tu". Lakini kilichonishtua kwa kiasi kikubwa ni Kauli kwamba anamyemjua Rais 2015 ni Kiwete.
Sasa najiluliza kama Kikwete anamfahamu Rais 2015 kuna haja kweli ya Kuitisha Uchaguzi wa Kudanganyana na kupoteza Pesa Nyingi.
Je Watu wa Kaskazini Wameikosea ni CCM? Mbona CCM inawatenga hivyo watu wa Kaskazini? Je hii yaweza kuwa Sababu ya Watu wa Kaskazini Kuichukia CCM kwa Sababu imeamua Kuwahakikishia kwamba Hawana haki ya Kukanyaga Magogoni?
1. Kamwe Rias 2015 Hatotoka Kaskazini.
2. Anayemjua Rais 2015 ni Jakaya kikwete
Kauli hii ya Kibaguzi dhidi ya Watu wa Kanda ya Kaskazini Ilipita bila kutolewa kwa Kauli ya Kupingwa kutoka kwa Viongozi wa CCM hali inayoashiria kwamba Kauli hii ilikuwa na Baraka za Wakubwa wa CCM na Watu wa Kaskazini "Mlie tu". Lakini kilichonishtua kwa kiasi kikubwa ni Kauli kwamba anamyemjua Rais 2015 ni Kiwete.
Sasa najiluliza kama Kikwete anamfahamu Rais 2015 kuna haja kweli ya Kuitisha Uchaguzi wa Kudanganyana na kupoteza Pesa Nyingi.
Je Watu wa Kaskazini Wameikosea ni CCM? Mbona CCM inawatenga hivyo watu wa Kaskazini? Je hii yaweza kuwa Sababu ya Watu wa Kaskazini Kuichukia CCM kwa Sababu imeamua Kuwahakikishia kwamba Hawana haki ya Kukanyaga Magogoni?