Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,565
tatizo ni mfumo... Tatizo ni mfumo...tatizo ni mfumo... Tatizo ni mfumo...... Na viongozi lele mama wa ccm.
Tatizo mi mtu mkuu mbona tunawaona kina Esta Bulaya walikua CCM na walikua wanasumama kidete kuongea fact? Hawa watu ndio wanaotengeneza mfumo mbaya hivyo mfumo haukuwabama ila wameubana wapate wanachotaka. endelea kunielimisha.