Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 2,389
- 2,000
watanzania ni WANAFIKI SANA.MPAKA TUNAOGOPESHA. baada ya Ruge kufa kila mtu atamsifia na kujifanya walikuwa karibu n.k
lakini n watu hawa hawa ambao walikuwa wakimsema kuwa ni mnyonyaji n k wasanii wangapi wameathiriwa na Ruge mnawazuia wasiseme wawe wanafiki?
mi nadhani kama kuna mema ameyafanya yasemwe na waliofanyiwa mabaya nao waseme.wasilazimishwe kuwa wanafiki tutakuwa hatuwasaidii walio hai kutengeneza wanapoharibu.
la msingi kusiwe na dhihaka kwa marehemu. ila mabaya yake yasemwe tu. tuacheni unafiki.mabaya kama yapo yasemwe. ruge hawez kwenda mbinguni kwa sisi kumsifia sana.
na hawezi kwenda motoni kwa sisi kumponda sana. ataenda sehemu mojawapo kati ya hizo kwa sababu ya matendo yake tu. aliyoyatenda akiwa hapa duniani.
tuacheni ujinga na unafiki.
lakini n watu hawa hawa ambao walikuwa wakimsema kuwa ni mnyonyaji n k wasanii wangapi wameathiriwa na Ruge mnawazuia wasiseme wawe wanafiki?
mi nadhani kama kuna mema ameyafanya yasemwe na waliofanyiwa mabaya nao waseme.wasilazimishwe kuwa wanafiki tutakuwa hatuwasaidii walio hai kutengeneza wanapoharibu.
la msingi kusiwe na dhihaka kwa marehemu. ila mabaya yake yasemwe tu. tuacheni unafiki.mabaya kama yapo yasemwe. ruge hawez kwenda mbinguni kwa sisi kumsifia sana.
na hawezi kwenda motoni kwa sisi kumponda sana. ataenda sehemu mojawapo kati ya hizo kwa sababu ya matendo yake tu. aliyoyatenda akiwa hapa duniani.
tuacheni ujinga na unafiki.