mwayungi JF-Expert Member May 9, 2017 1,814 3,078 Dec 5, 2017 #2 Kabla ya kuuliza hivyo ujiulize nani unayemlisha na kumvisha humu mtandaoni???Vipi kuhusu vocha,pesa ya pango,ya kununulia simu??
Kabla ya kuuliza hivyo ujiulize nani unayemlisha na kumvisha humu mtandaoni???Vipi kuhusu vocha,pesa ya pango,ya kununulia simu??
nankumene JF-Expert Member Nov 12, 2015 7,335 8,116 Dec 5, 2017 #3 we mwnyew upo mtandaoni sa sijui unauliza kitu gani
Sisyphus JF-Expert Member Oct 8, 2015 3,492 4,528 Dec 5, 2017 #4 Hamjamstukia tu kwamba ni kichaa mmoja wa mtaani kavamia kambi
Jogoo wa Shamba II JF-Expert Member Jan 14, 2013 3,371 6,505 Dec 5, 2017 #5 Kwenye watatu mmoja ni kichaa
Baba Swalehe JF-Expert Member Jun 6, 2017 19,520 37,929 Dec 5, 2017 #6 Ukiskia nyege frustration au nyege expansion joints ndo hizi
aganza JF-Expert Member Mar 9, 2017 1,450 3,153 Dec 8, 2017 #7 inswengwe said: View attachment 644599 Click to expand... Wape vidonge vyao wamezidi kushinda mtandaoni Cc makapuku forum
inswengwe said: View attachment 644599 Click to expand... Wape vidonge vyao wamezidi kushinda mtandaoni Cc makapuku forum
M momaka JF-Expert Member Apr 11, 2012 438 349 Dec 8, 2017 #8 Kuwepo kwenye mtandao inawezekana ikawa nayo ni kazi,usiwe na fikra mgando.
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Dec 8, 2017 #11 baba swalehe said: Ukiskia nyege frustration au nyege expansion joints ndo hizi Click to expand... Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaah! yaani umenivunja mbavu and you made my day
baba swalehe said: Ukiskia nyege frustration au nyege expansion joints ndo hizi Click to expand... Ha ha ha ha ha ha ha haaaaaah! yaani umenivunja mbavu and you made my day
Al-Watan JF-Expert Member Apr 16, 2009 11,891 14,560 Dec 8, 2017 #13 Pambana na maisha yako, wengine mitandaoni ndio kazini mwao. We unafikiri kama kijijini kwenu wakulima kila mtu mkulima?
Pambana na maisha yako, wengine mitandaoni ndio kazini mwao. We unafikiri kama kijijini kwenu wakulima kila mtu mkulima?
patricl JF-Expert Member Oct 2, 2015 508 297 Dec 9, 2017 #14 Kwa avata yako,,, umeshamaliza kumnywesha mtoto uji????
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Sep 19, 2016 5,188 6,011 Dec 13, 2017 #15 Kuna Yule mwenzake alipigwa ban alikuwa kichwa maji kama ww