Naunga mkono hoja. Jamaa wako kwenyee mission yao ya kisiasaa. Mambo yao sio ya kutilia maananiSio unafiki, ndivyo CCM inavyotawala. Leo mnashangilia akina HP wakinyooshwa badala ya hoja zake! Hata wakati wa JPM tuliwatetea akina Nape sababu ya tofauti yake na JPM na sio hoja zake.
CCM itatawala milele namna hii na tukishtuka Mbowe kahukumiwa kwa ugaidi! Focus! Focus! Focus! CCM aliyefariki ni mwenyekiti wao tu! Wanastahili maswali magumu ili tujue chama kipi kilitawala awamu zilizopita.
Watu huwa hawasifii toka moyoni wanasifia kupata teuzi na maslahi binafsi, hakuna mwenye nia njema na Tanzania hata mmoja zaidi ya kupiga pesa"Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilitengeneza Maadui wengi na nchi za Kimataifa kupitia Waziri Kabudi ila Serikali ya Rais wa sasa Samia imerejesha Mahusiano mema na Mataifa mbalimbali kupitia Waziri Mulamula" Mzee Bulembo Kada Mwandamizi wa CCM na aliyewahi pia kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM.
Chanzo: DarBlogMpya
Kama kumbukumbu zangu hazijapotea ni kwamba ukiwataja Viongozi Watatu bora ambao walikuwa Wakimpamba / Wakimsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli na kusema hakuna kama Yeye Tanzania Mzee huyu Kada wa CCM Abdallah Bulembo hakosekani ila ghafla leo hii kaamua kupiga U-turn ya Hatari.
KEROZENE natamani sana Tanzania tuje na Sheria ya KUNYONGWA HADI KUFA KWA WANAFIKI WOTE hasa hasa ndani ya Chama Tawala CCM.
Kweli tupu umesema, hata bibi ushungi wanamsifia ili awateue na siyo kingineUsishangae siku mama akiondoka(kutwaliwa) utawasikia walewalee wakisema,alikuwa rais wa hovyoo kuwahi kutokea Tanzania.
Kuna wakati naamini kuna watu wanategemea kujipendekeza Kwa watawala ili waishi.
Mjini kugumu.
Kwamba una amini bulembo ana njaaa.labda ungeniambia ulafiMzee Bulembo akiwa bungeni alitamka kuwa watu kama zito wanaomchallenge magufuli wanatakiwa wanyongwe, mapenzi yake kwa jpm yalikuwa hatari, wala hakujali kuwa zito ni mkwewe.
Lakini bila shaka njaa imeanza kumuuma
kiswahili kigumu mzee....niseme alizoea kupata vya bure pasipo kufanya kazi na kuhangaisha akili. sasa hivi inalazimika atumie nguvu na akili. ameanza kulalamaKwamba una amini bulembo ana njaaa.labda ungeniambia ulafi
Najua, ila hawa wazeee wamejilimbikizia mali za kutosha kiasi hata bilaa kupiga hizo porojo wangeishi tuu fleshi.kiswahili kigumu mzee....niseme alizoea kupata vya bure pasipo kufanya kazi na kuhangaisha akili. sasa hivi inalazimika atumie nguvu na akili. ameanza kulalama
Nimepemda hiki ulichoandika hasa hapo uliposema "CCM ndivyo inavyotawala" niongezee kidogo...Sio unafiki, ndivyo CCM inavyotawala. Leo mnashangilia akina HP wakinyooshwa badala ya hoja zake! Hata wakati wa JPM tuliwatetea akina Nape sababu ya tofauti yake na JPM na sio hoja zake.
CCM itatawala milele namna hii na tukishtuka Mbowe kahukumiwa kwa ugaidi! Focus! Focus! Focus! CCM aliyefariki ni mwenyekiti wao tu! Wanastahili maswali magumu ili tujue chama kipi kilitawala awamu zilizopita.
"Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilitengeneza Maadui wengi na nchi za Kimataifa kupitia Waziri Kabudi ila Serikali ya Rais wa sasa Samia imerejesha Mahusiano mema na Mataifa mbalimbali kupitia Waziri Mulamula" Mzee Bulembo Kada Mwandamizi wa CCM na aliyewahi pia kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM.
Chanzo: DarBlogMpya
Kama kumbukumbu zangu hazijapotea ni kwamba ukiwataja Viongozi Watatu bora ambao walikuwa Wakimpamba / Wakimsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli na kusema hakuna kama Yeye Tanzania Mzee huyu Kada wa CCM Abdallah Bulembo hakosekani ila ghafla leo hii kaamua kupiga U-turn ya Hatari.
KEROZENE natamani sana Tanzania tuje na Sheria ya KUNYONGWA HADI KUFA KWA WANAFIKI WOTE hasa hasa ndani ya Chama Tawala CCM.
Na ndio huyo uyo enzi za JPM aliwaita wale waliokuwa wanampinga JPM kuwa ni Wasaliti na adhabu yao ni kifo. Uyu mzee ni kigeugeu.Bulembo huwa anaenda ofisini kwa Zitto Kabwe kupiga mizinga!
Huyu mzee ni mswahili sana.
Siyo tu mchumia tumbo,ila mchumia tumbo asiye na shukurani.Nakubaliana na wewe, yaani tumeona mfano halisi wa mchumia tumbo leo
Ofisini kwa mkwe wake.Bulembo huwa anaenda ofisini kwa Zitto Kabwe kupiga mizinga!
Huyu mzee ni mswahili sana.
Hiyo ni kweli kabisa Gentamicin,una ID ngapi mkuu?"Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilitengeneza Maadui wengi na nchi za Kimataifa kupitia Waziri Kabudi ila Serikali ya Rais wa sasa Samia imerejesha Mahusiano mema na Mataifa mbalimbali kupitia Waziri Mulamula" Mzee Bulembo Kada Mwandamizi wa CCM na aliyewahi pia kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM.
Chanzo: DarBlogMpya
Kama kumbukumbu zangu hazijapotea ni kwamba ukiwataja Viongozi Watatu bora ambao walikuwa Wakimpamba / Wakimsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli na kusema hakuna kama Yeye Tanzania Mzee huyu Kada wa CCM Abdallah Bulembo hakosekani ila ghafla leo hii kaamua kupiga U-turn ya Hatari.
KEROZENE natamani sana Tanzania tuje na Sheria ya KUNYONGWA HADI KUFA KWA WANAFIKI WOTE hasa hasa ndani ya Chama Tawala CCM.
Bulembo atuambie fedha za malipo ya mauzo ya mali za Jumuiya ya Wazazi ya CCM ikiwemo mashule kadha ya sekondari ziko wapi? Ni kiduchu tu zimeingia Jumuiyani. Yeye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti."Serikali ya Hayati Dkt. Magufuli ilitengeneza Maadui wengi na nchi za Kimataifa kupitia Waziri Kabudi ila Serikali ya Rais wa sasa Samia imerejesha Mahusiano mema na Mataifa mbalimbali kupitia Waziri Mulamula" Mzee Bulembo Kada Mwandamizi wa CCM na aliyewahi pia kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM.
Chanzo: DarBlogMpya
Kama kumbukumbu zangu hazijapotea ni kwamba ukiwataja Viongozi Watatu bora ambao walikuwa Wakimpamba / Wakimsifia sana Hayati Rais Dkt. Magufuli na kusema hakuna kama Yeye Tanzania Mzee huyu Kada wa CCM Abdallah Bulembo hakosekani ila ghafla leo hii kaamua kupiga U-turn ya Hatari.
KEROZENE natamani sana Tanzania tuje na Sheria ya KUNYONGWA HADI KUFA KWA WANAFIKI WOTE hasa hasa ndani ya Chama Tawala CCM.